TECNO kutwaa tuzo ya simu pendwa baada ya kuishinda Samsung

Huawei ni campany bora kabisa ukitoa samsung na i phone anafata yeye inamaana ni wa 3 kwa ubora duniani alaf wanafuata wengine, kwa maana iyo si tecno wala infinixy kweny 30 bora watakua hawamo kweny viwango vya ubora. Sema tecno kashika soko la afrika coz africa wengi kiuwezo tupo chini, ndo maana tecno hana simu ya milion kwenda juu atamuuzia nani wakati haina viwango? On myself siipondi tecno coz nimetumia sana, kisha nikanunua huawei, kisha nikatumia samsung...niliporudi tena kweny tecno nilipata tabu sana kwani nilikua naona kama nipo jizan hapo ndo nikagundua tecno low quality na ukichunguza sana zinaumiza macho sema uwez jua mpaka uwe nazo kalibu zote ndo utajua. Lakin pia wapo wanaotumia i phone wapandisha mabega, kwa .mimi sjawai kufikilia kutumia kutokana na masharit ya simu.....lakin pia watumia i phone weng wanatumia simu used yaan matoleo yaliopita ukitafuta wanaotumia i phone x ni wachache ingawa toleo limepita nalo kwaiyo weng wanavimba na mitumba yao iliyoisha na wakati. Mimi kipato chang ni cha kununua simu za midrange naenda shop kununua kutokana na huwezo ila kama nina uwezo akika tecno situmii na i phone naenda kununua matoleo mapya........je i phone wana matoleo ya midrange kwa sasa au tusumiri mpaka zipitwe na wakati...wenzio wanatumia ios14 ww upo kwenye ios6 na unavimba unajiona umeuchinja watumiaji wa i phone nao
iphone 6s used ya mwaka 2014 ni bora mara 15 kuliko tecno la mwaka huu.

hata hivyo.iphone hiyo mtu kauziwa bei kubwa kuliko tecno jipya.
 
Huawei ni campany bora kabisa ukitoa samsung na i phone anafata yeye inamaana ni wa 3 kwa ubora duniani alaf wanafuata wengine, kwa maana iyo si tecno wala infinixy kweny 30 bora watakua hawamo kweny viwango vya ubora. Sema tecno kashika soko la afrika coz africa wengi kiuwezo tupo chini, ndo maana tecno hana simu ya milion kwenda juu atamuuzia nani wakati haina viwango? On myself siipondi tecno coz nimetumia sana, kisha nikanunua huawei, kisha nikatumia samsung...niliporudi tena kweny tecno nilipata tabu sana kwani nilikua naona kama nipo jizan hapo ndo nikagundua tecno low quality na ukichunguza sana zinaumiza macho sema uwez jua mpaka uwe nazo kalibu zote ndo utajua. Lakin pia wapo wanaotumia i phone wapandisha mabega, kwa .mimi sjawai kufikilia kutumia kutokana na masharit ya simu.....lakin pia watumia i phone weng wanatumia simu used yaan matoleo yaliopita ukitafuta wanaotumia i phone x ni wachache ingawa toleo limepita nalo kwaiyo weng wanavimba na mitumba yao iliyoisha na wakati. Mimi kipato chang ni cha kununua simu za midrange naenda shop kununua kutokana na huwezo ila kama nina uwezo akika tecno situmii na i phone naenda kununua matoleo mapya........je i phone wana matoleo ya midrange kwa sasa au tusumiri mpaka zipitwe na wakati...wenzio wanatumia ios14 ww upo kwenye ios6 na unavimba unajiona umeuchinja watumiaji wa i phone nao
Kashika soko Sababu watu wengi ni wajinga hawana uelewa wa simu, wa naangalia tu ukubwa wa kioo.

Mfano naweza kuchallenge ni tecno ipi inakupa value for money compare na brand nyengine?
 
Huawei ni campany bora kabisa ukitoa samsung na i phone anafata yeye inamaana ni wa 3 kwa ubora duniani alaf wanafuata wengine, kwa maana iyo si tecno wala infinixy kweny 30 bora watakua hawamo kweny viwango vya ubora. Sema tecno kashika soko la afrika coz africa wengi kiuwezo tupo chini, ndo maana tecno hana simu ya milion kwenda juu atamuuzia nani wakati haina viwango? On myself siipondi tecno coz nimetumia sana, kisha nikanunua huawei, kisha nikatumia samsung...niliporudi tena kweny tecno nilipata tabu sana kwani nilikua naona kama nipo jizan hapo ndo nikagundua tecno low quality na ukichunguza sana zinaumiza macho sema uwez jua mpaka uwe nazo kalibu zote ndo utajua. Lakin pia wapo wanaotumia i phone wapandisha mabega, kwa .mimi sjawai kufikilia kutumia kutokana na masharit ya simu.....lakin pia watumia i phone weng wanatumia simu used yaan matoleo yaliopita ukitafuta wanaotumia i phone x ni wachache ingawa toleo limepita nalo kwaiyo weng wanavimba na mitumba yao iliyoisha na wakati. Mimi kipato chang ni cha kununua simu za midrange naenda shop kununua kutokana na huwezo ila kama nina uwezo akika tecno situmii na i phone naenda kununua matoleo mapya........je i phone wana matoleo ya midrange kwa sasa au tusumiri mpaka zipitwe na wakati...wenzio wanatumia ios14 ww upo kwenye ios6 na unavimba unajiona umeuchinja watumiaji wa i phone nao

😂 😂 😂
 
Ngoja wale wanaosema tecno ni simu za masikini waje.
Wakati huohuo nao wanatumia tecno.

Sababu huwezi kujua ubaya au uzuri wa tecno kama hutumii tecno.
Naomba nikwambie tu .
Tecno ni upuuzi kama upuuzi mwingine tu.

Nimetumia simu za tecno zaidi ya 5
Nimetumia:
T30 (button)
T35 (button)
P3
P5
P9
S5
W3
Wx3 LTE
N8
S2
H6
Hizo zote nimetumia kwa kumiliki zaidi ya miezi 3 .

Hivyo tunaposema tecno na upumbavu flani uliochangamka mtuelewe tu
 
Zilikuwa na shida gani?

Na ulizitumia hizo simu kwenye nini?
Naomba nikwambie tu .
Tecno ni upuuzi kama upuuzi mwingine tu.

Nimetumia simu za tecno zaidi ya 5
Nimetumia:
T30 (button)
T35 (button)
P3
P5
P9
S5
W3
Wx3 LTE
N8
S2
H6
Hizo zote nimetumia kwa kumiliki zaidi ya miezi 3 .

Hivyo tunaposema tecno na upumbavu flani uliochangamka mtuelewe tu
 
In summary:

Infinix - Upuuzi uliochangamka tu
Tecno - Upuuzi wa kawaida
Itel - Upuuzi uliopooza

Kuna mwingine toka haanze kutumia smartphone ni tecno kwenda mbele huyu awezi kukuelewa ukimwambia low quality coz hata mm nilikua na jamaa yang alikua mpenz sana wa huawei mm tecno kila akinishawashi ninunue huawei mm naona kama kavurugika vile, nilikuja kuelewa baadae kweli......yote na yote wabongo bado hatujachangamka...kuna jamaa aliagiziwa simu kampuni ya vivo kutoka india ilikua nzuri mno mimi kipindi icho natumia tecno nikamwambia simu gani hiyo kauza kanunua tecno c9 ndo nakumbuka ivyoo
 
Kuna mwingine toka haanze kutumia smartphone ni tecno kwenda mbele huyu awezi kukuelewa ukimwambia low quality coz hata mm nilikua na jamaa yang alikua mpenz sana wa huawei mm tecno kila akinishawashi ninunue huawei mm naona kama kavurugika vile, nilikuja kuelewa baadae kweli......yote na yote wabongo bado hatujachangamka...kuna jamaa aliagiziwa simu kampuni ya vivo kutoka india ilikua nzuri mno mimi kipindi icho natumia tecno nikamwambia simu gani hiyo kauza kanunua tecno c9 ndo nakumbuka ivyoo
hii roho ya kishamba inamuandama huyo jamaa.

uliishawahi kutana na mtu anakwambia yeye samsung,iphone,ama huawei hazipendi sababu tu anapata akitakacho kwenye tecno!!!!!
unamwacha maana hata maelezo mengi kiasi gani hawezi kukuelewa.
 
Back
Top Bottom