Tecno kama mmechoka kutengeneza simu imara mkalime matikiti

kesho kutwa

JF-Expert Member
Dec 7, 2016
1,616
1,763
Simu Za tecno Ndizo zinazoongoza kwa matatizo matatizo ya upande wa software and hardware mara haiwaki mara not responding mara betri idiscending wakat wa kuichaj badala ya ascending mara ichelewe ama kutofika kabisa kwa SMS mara Unapiga Sim eti inatumika wakati ipo hewani. Nawahama tecno.
 
Mgumu04 acha kuleta maneno ya shombo kama uzi umekukela pita kimya siyo kuleta maneno ya kipuuzi ili hali mwenzio ana hoja..


Nani asiyejua kuwa simu za TECNO ni mbovu?
---nakupa FACT ukitaka kujua simu hizi za tecno ni HOVYO narudia HOVYO KABISA nenda "Customer care yao pale kariakoo opposite na msimbazi police ghorofa la kijani" angalia idadi ya wateja walio rudisha simu kwa matatizo mbalimbali, tena simu hizo zipo ndani warrant na wakikutengenezea baada ya siku kadhaa tatizo linajirudia"?

afu wewe unakuja na maneno ya shombo kumkatisha tamaa mwenzio?

~ukiona post haikuhusu piga kimya~
 
Mgumu04 acha kuleta maneno ya shombo kama uzi umekukela pita kimya siyo kuleta maneno ya kipuuzi ili hali mwenzio ana hoja..


Nani asiyejua kuwa simu za TECNO ni mbovu?
---nakupa FACT ukitaka kujua simu hizi za tecno ni HOVYO narudia HOVYO KABISA nenda "Customer care yao pale kariakoo opposite na msimbazi police ghorofa la kijani" angalia idadi ya wateja walio rudisha simu kwa matatizo mbalimbali, tena simu hizo zipo ndani warrant na wakikutengenezea baada ya siku kadhaa tatizo linajirudia"?

afu wewe unakuja na maneno ya shombo kumkatisha tamaa mwenzio?

~ukiona post haikuhusu piga kimya~
upo sahihi kabsa, tecno wana simu mbovu ajabu!!!
wanataka kushindwa na huawei!!!
 
Mgumu04 acha kuleta maneno ya shombo kama uzi umekukela pita kimya siyo kuleta maneno ya kipuuzi ili hali mwenzio ana hoja..


Nani asiyejua kuwa simu za TECNO ni mbovu?
---nakupa FACT ukitaka kujua simu hizi za tecno ni HOVYO narudia HOVYO KABISA nenda "Customer care yao pale kariakoo opposite na msimbazi police ghorofa la kijani" angalia idadi ya wateja walio rudisha simu kwa matatizo mbalimbali, tena simu hizo zipo ndani warrant na wakikutengenezea baada ya siku kadhaa tatizo linajirudia"?

afu wewe unakuja na maneno ya shombo kumkatisha tamaa mwenzio?

~ukiona post haikuhusu piga kimya~
Mkuu labda Yupo sahihi Ila Mi simu ya tecno zinanisumbua labda yeye ya kwake inamfaa
 
Mgumu04 acha kuleta maneno ya shombo kama uzi umekukela pita kimya siyo kuleta maneno ya kipuuzi ili hali mwenzio ana hoja..


Nani asiyejua kuwa simu za TECNO ni mbovu?
---nakupa FACT ukitaka kujua simu hizi za tecno ni HOVYO narudia HOVYO KABISA nenda "Customer care yao pale kariakoo opposite na msimbazi police ghorofa la kijani" angalia idadi ya wateja walio rudisha simu kwa matatizo mbalimbali, tena simu hizo zipo ndani warrant na wakikutengenezea baada ya siku kadhaa tatizo linajirudia"?

afu wewe unakuja na maneno ya shombo kumkatisha tamaa mwenzio?

~ukiona post haikuhusu piga kimya~
mh soma uzi tena jama kasema software wewe unasema customer care
 
mkuu
Mgumu04 acha kuleta maneno ya shombo kama uzi umekukela pita kimya siyo kuleta maneno ya kipuuzi ili hali mwenzio ana hoja..


Nani asiyejua kuwa simu za TECNO ni mbovu?
---nakupa FACT ukitaka kujua simu hizi za tecno ni HOVYO narudia HOVYO KABISA nenda "Customer care yao pale kariakoo opposite na msimbazi police ghorofa la kijani" angalia idadi ya wateja walio rudisha simu kwa matatizo mbalimbali, tena simu hizo zipo ndani warrant na wakikutengenezea baada ya siku kadhaa tatizo linajirudia"?

afu wewe unakuja na maneno ya shombo kumkatisha tamaa mwenzio?

~ukiona post haikuhusu piga kimya~[/QUOTE
mkuu ukiacha huko customer care njoo hapa jukwaani utaona malalamiko mengi ni juu ya tecno tu
 
Kununua simu za tecno ni ukosefu wa akili na maarifa tuuu!!........Kuna simu imara, bora na impressive kuliko tecno na zinauzwa bei rahisi kuliko tecno zinazouzwa online!!..... zinauzwa kwenye masoko ya online kama vile Aliexpress, banggood, ebay e. t. c!
 
Kununua simu za tecno ni ukosefu wa akili na maarifa tuuu!!........Kuna simu imara, bora na impressive kuliko tecno na zinauzwa bei rahisi kuliko tecno zinazouzwa online!!..... zinauzwa kwenye masoko ya online kama vile Aliexpress, banggood, ebay e. t. c!
na wewe usiseme ni ukosefu wa akili kutumia tecno, Alichokupa Mungu si kila mtu kapewa sawa na ulichopewa wewe.

UBARIKIWE
 
Nilishaapa kutotumia simu inaitwa TECNO! Hii ni baada ya office mate kuwa nayo. Basi watu tuko kwenye vikao serious kasimu kake kanapiga kengele kama nini! Since then nilitokea kuzichukia simu zinaitwa TECNO mpaka wa leo!
 
Tecno zimetengenezwa kwa soko la Africa kulenga watu wa kipato cha chini na kati (Made in China) na ndio maana kila baada ya miezi kadhaa wanatoa toleo jipya..

Inshort ni simu mbovu kweli, nilishafunga nazo mkataba sitakuja kuzitumia tena tangu iniharibikie mwaka 2014 sina hamu nayo tena..Kwanza simu zenyewe hata kwenye Top 20 ya dunia ya simu bora hazipo


NB: Huu ni mtazamo wangu binafsi...
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom