Zugak17
JF-Expert Member
- Aug 9, 2014
- 1,166
- 379
Ww hafadhari.Hata we pia umetumia maneno Makali sana, ni kweli tecno zinaweza kuwa na matatizo, lakini kuna wengine wanatumia hizo hizo tecno lakini hazijawaletea shida. Jambo jema nikuelimishana tu kwa hekima na ustaarabu. mfano hata mimi natumia tecno phantom z mini, haijawajihi nisumbua.