mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 81,174
- 421,466
Asiee nilikuwa nayo M 3 we niliponda ponda mwenyeweeeMgumu04 acha kuleta maneno ya shombo kama uzi umekukela pita kimya siyo kuleta maneno ya kipuuzi ili hali mwenzio ana hoja..
Nani asiyejua kuwa simu za TECNO ni mbovu?
---nakupa FACT ukitaka kujua simu hizi za tecno ni HOVYO narudia HOVYO KABISA nenda "Customer care yao pale kariakoo opposite na msimbazi police ghorofa la kijani" angalia idadi ya wateja walio rudisha simu kwa matatizo mbalimbali, tena simu hizo zipo ndani warrant na wakikutengenezea baada ya siku kadhaa tatizo linajirudia"?
afu wewe unakuja na maneno ya shombo kumkatisha tamaa mwenzio?
~ukiona post haikuhusu piga kimya~