am a girl
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 748
- 504
Nina ka tecno h5 kangu nakatumia kusikiliza mziki mana kanakaa na chaji,ila tatizo mziki hauishi kanajizima jamani,shida ni nini???
Nishascan sd card lakin tatizo bado lipo....
cc Chief-Mkwawa.
Halafu pia nakauza mwenye anaitaka pm me
Nishascan sd card lakin tatizo bado lipo....
cc Chief-Mkwawa.
Halafu pia nakauza mwenye anaitaka pm me