Gluk
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 1,856
- 2,953
Laki 5 ununue tecno !?? Mwaka wa nne huu natafuta laki tano ila mwingine anainunulia tecno!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wa kike ndio hueleweki, maana nilidhani unalinganisha kwa manufaa ya tusiofahamu kumbe una akili za uke wenza, maana sasa umeiita kimeo, mara mid range na bei around, lakini sijaona bei zenyewe zaidi ya maneno ya shombo.We jamaa niaje, sasa sindo nmekujibu kuna midrange bei around na hyo tecno and still zmekalisha hiko kimeo
Habari commision zimetokea wapi ? Wakiume ww ujue
We jamaa kavu sana,,nimeita hiyo tecno midrange?Wewe wa kike ndio hueleweki, maana nilidhani unalinganisha kwa manufaa ya tusiofahamu kumbe una akili za uke wenza, maana sasa umeiita kimeo, mara mid range na bei around, lakini sijaona bei zenyewe zaidi ya maneno ya shombo.
Hebu niwaache na ligi zenu yawezekana mna wadhamini
Mnashindwa kuelewa,sio kwamba sijaona huawei,samsung s na note series,iphone,lg etc ila kwa uwezo wa tecno hiyo simu imejitahidi kama ushawahi kutumia simu hizo nilizozitaja,haijaachwa mbali sana kwa kuzugia...simu nazifahamu pengine kushinda weweHujui Simu mkuu! Omba ushauri kwanza.
Huyo ni steve jobs,mimi nande nasema it is how it looks like"Design is not just what it looks like and feels like. Design is how it works".
Steve Jobs
Bado mzee tecno ni affordable broSisi point yetu ya msingi ni: Bei wanazouza Tecno ni bei za unyonyaji wakati kuna device zenye ubora kama (au kuliko) hata hiyo Camon X kwa bei rahisi.
Mfano: Nilinunua Xiaomi Redmi 6A kwa laki mbili na thelathini pekee na inafana (imeipita) vingi Camon X.
View attachment 1066539
Nafikir wew umeunganisha kipato chako na uelewa wako ndy mana umekwama kweny tecnoMnashindwa kuelewa,sio kwamba sijaona huawei,samsung s na note series,iphone,lg etc ila kwa uwezo wa tecno hiyo simu imejitahidi kama ushawahi kutumia simu hizo nilizozitaja,haijaachwa mbali sana kwa kuzugia...simu nazifahamu pengine kushinda wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii Redmi umechukua duka gani hapa Dar?? Nahitaji hii kitu.Nakupa mfano: mara ya mwisho nimenunua hii,... Redmi Note 7 4GB 64GB 48MP Cameras Snapdragon 660 Octa Core 6.3'' FHD+ QC 4.0 4000mAh Battery
TZS 479821.56
Sasa angalia ni jinsi gani hiyo Camon X Pro ilivyo ghali
Inawezekana bossNafikir wew umeunganisha kipato chako na uelewa wako ndy mana umekwama kweny tecno
Samsung note 3 used,ila ukitafuta sana kwa dar hata note 4 unaeza pata
Hiyo avatar ni Redmi Note 7, usifaninishe na Camon 11.Ila hiyo kwenye dp si tecno camon 11 pro!?,ambayo inafanana sana na huawei p20 machine ya level nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeagiza huko online, hapa Dar usishangae kuambiwa laki sita.
hapo hiyo redmi imepitwa battery tu maana hiyo ca7 ni 5000mah,, hiyo redmi inapatikana bongo?Nakupa mfano: mara ya mwisho nimenunua hii,... Redmi Note 7 4GB 64GB 48MP Cameras Snapdragon 660 Octa Core 6.3'' FHD+ QC 4.0 4000mAh Battery
TZS 479821.56
Sasa angalia ni jinsi gani hiyo Camon X Pro ilivyo ghali
hapo hiyo redmi imepitwa battery tu maana hiyo ca7 ni 5000mah,, hiyo redmi inapatikana bongo?
TEKINOKuna hii kitu inaitwa tecno ca7 imesimama balaa,mwanzo nilikuwa nawaza kununua note 5 nilipokutana nayo aisee imenipunguzia mambo mengi sana,kuanzia gharama kwa huku imesimama laki tano na 30,ina ram 3gb,rom 32gb,camera 20mp inakaa na chaji kwa watumiaji wenye fujo....very nice phone ever,nakushauri kamauna uhitaji wa simu na unahela nunua hiyo simu,hautajutia....
Sent using Jamii Forums mobile app
hata mimi nimeikubali sana...camon 11 lazima niiipate nauza samsung yangu j5 ninunue tecno camon 11Kuna hii kitu inaitwa tecno ca7 imesimama balaa,mwanzo nilikuwa nawaza kununua note 5 nilipokutana nayo aisee imenipunguzia mambo mengi sana,kuanzia gharama kwa huku imesimama laki tano na 30,ina ram 3gb,rom 32gb,camera 20mp inakaa na chaji kwa watumiaji wenye fujo....very nice phone ever,nakushauri kamauna uhitaji wa simu na unahela nunua hiyo simu,hautajutia....
Sent using Jamii Forums mobile app