Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,497
- 2,156
Nina account ebay nafanya purchase mara nyingi ila sio za simu,mara moja nilinunua iphone 5s kumbe kuna watu walihack account ya seller na nilivizia yenye bei rahisi,sema uzuri hela inarudi safi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
huko bongo wachawi sana kitu cha lak moja wanakuuzia lak 4