Technology ya kukata viuno inapotea

"nakunukuu "'Mila ziendelee ila kuna vitu vitolewe kama kumridhisha mwanaume/mauno"" hapo kwenye nyekundu sijafurahia kabisa mzigua wewe
Mkuu nisamehe kwa kutaka kuwakatishia utamu ila hivi vitu ndio vinaleta mtatizo. kwanza hayo mambo ya kuridhishana/mauno hayana formula huya yanakuja tu automatically mzuka ukipanda.
 
Kukata kiuno hakujawahi kumuacha mtu salama..

Kiuno kipi unachoongelea kwanza, kama vile vya kwenye video ya chura ya snura au kama Asa Akira akiwa 6*6..!!
 
Mkuu nisamehe kwa kutaka kuwakatishia utamu ila hivi vitu ndio vinaleta mtatizo. kwanza hayo mambo ya kuridhishana/mauno hayana formula huya yanakuja tu automatically mzuka ukipanda.
SIamini kama yanakuja automatiki, lazima watu wafundishwe
 
Kukata kiuno hakujawahi kumuacha mtu salama..

Kiuno kipi unachoongelea kwanza, kama vile vya kwenye video ya chura ya snura au kama Asa Akira akiwa 6*6..!!
Mkuu unamfahamu Asa Akira yule dada kutoka bara la Asia kiboko yule.

Mtafte mwengine anaitwa Rachel starr ndio mpinzani wake huyu hatari sana.
 
Tatizo watoto wengi waliopelekwa kuchezwa huwa wanaishia na mimba au kuolewa wakiwa wadogo maana sharti la mafunzo ni vitendo bwana. Mila ziendelee ila kuna vitu vitolewe kama kumridhisha mwanaume/mauno
You have a point there, tubadili umri wa kuwacheza? Ingawa raha ya samaki mkunje angali mbichi
 
Babe hata wewe?? kwani vyangu havikutoshi? na sijaenda huko mafunzoni sema utundu tu.
Oouh hapo tupo sambamba maana nilipatwa na mfadhaiko mkubwa saana nikajua nawe utastop...

Hizo elimu zimehamia youtube siku hizi
 
Back
Top Bottom