BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,496
- 5,693
Wadau WA jukwaa,kuna manzi wangu kanunua hiyo bidhaa,sasa kaniletea nimuwekee line na kupakua mavitu,
Nimeanza kuchemka,msaada kwa anaejua jinsi ya kuweka line.
Natanguliza shukrani za dhati.
Nimeanza kuchemka,msaada kwa anaejua jinsi ya kuweka line.
Natanguliza shukrani za dhati.