Donpela
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 2,040
- 591
habari ndugu zangu...binafi nina mchumba wa kichaga mmachame....sasa rafiki zangu wananitahatharisha sana...ila binafsi sijaona mabadiliko yoyote tangu tuwe pamoja miaka 3 iliopita..
Niishaurini dalili za awa wanawake wa machane endapo wanataka kunipindua...kwa mtu mwenye kipato cha wastani kama mimi
Niishaurini dalili za awa wanawake wa machane endapo wanataka kunipindua...kwa mtu mwenye kipato cha wastani kama mimi