MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,640
- 33,421
Amesema Mungu si hirizi! Yes! Only hirizi ndio kitu ambacho unakitumainia bila kuhitaji akili! Mungu katuumba na akili,nafsi huru si kwaajili ya mapambo alafu yeye atawale! Pale pa kutumia akili huhitaji Mungu! Ukisikia mkojo unahitaji Mungu? Sasa tunajua kinachoendelea na kusumbua dunia nzima! Kwanini tusiseme ukweli ili jamii ijichunge?Aanze kiongozi wa kiroho aliyemkana Mungu hadharani kwakuiita imani ushirikina na science mkombozi
Science ni kiwakilishi cha akili na hizi akili hukupewa kwendea chooni tu. Sala lazima iende na matendo! Ukikutana na Simba utasali ukikimbia, ukijifanya unakemea utatafunwa ndugu!