Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,893
- 33,453
Hata rais ni Kiongozi anajua jinsi ya kuendesha, wewe ni nani uanze kumuuelekeza namna ya kufanya?Wao ndio viongozi wa hayo makanisa. Wanajua vizuri namna ya kuyaendesha. Wewe ni nani kuanza kuwaelekeza namna ya kufanya. Ujuaji ambao hauna maana. Bure kabisa!
Waambie wafunge makanisa kama kweli wako serious na corona