mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
- Thread starter
- #21
Kweli Walipemsaada Kwa maskin haupo seminari zaohali mnoMimi ni mkatoliki kindaki ndaki ibada nasali Kwa lugha ya kanisa (kilatini)
Nasema hivi, walipishwe Kodi Kama kawaida kwenye shule za kanisa kwasababu zinafanya biashara tena ya ghali ajabu