Tcu

Sio presha nawe gumu kuelewa?wanatudanganya,kwan wakisema hata watatoa december alaf watekeleze sisi tungelaumu?tatizo waongo!
mbona mwaka jana walitoa september...kama umefaulu chuo utaenda tuu...presha za nini
<br />
<br />
 
mbona mwaka jana walitoa september...kama umefaulu chuo utaenda tuu...presha za nini
sasa wale ambao majna yao hayatatokea si itabd wa apply tena? Km mwsho wa kuapply ni tar 22mwez huu kvp watoe septmba?!!
 
Kweli wakuu, kinachotukera ni uongo wao, sio kuchelewesha matokeo. Bora watoe tarehe ya uhakika.. Watu wengine tupo tempo, inabidi tujue lini tuataanza chuo.
 
Kabisa kaka,ila cshangai form siksi cc magugashi yalianzia tangu darasa la nne,la saba,form one mara oh,physics with chemistry mara eh,duuuh,sas wamejaribishia li TCU lao!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Umesahau kuondolewa kwa b/k na commerce!!! Mitihani minne tstd 7,vitabu vipya kwenye mtihani wa kiswahili,topic mpya ya A/C mwezi wa saba,halafu na mwl kama logic,wa mbele nyuma na wa nyuma mbele.
<br />
<br />
mi nawaambiaga wa2,kwamba since la 7 ,sis n darasa la majaribio, kumbukeni form 4,walileta form mpya za kujaza kuombda shule A level. Tukaingia A level, wakabadilisha syllabus kat kat ya mwaka (waliosoma Language wanajua kilichotokea), wakaja wakafuta.tunataka kujiunga chuo wamewaleta hawa wapuuzi, na tusishangae huko vyuon mambo wakaya peleke ful kumchuzi. Kumbuken HIKI N KIZAZ CHA KUJARIBU SYSTEM YOYOTEYOTE MPYA KATIKA ELIMU.
 
Yani asee tucshangae,sisi ni SPECIMEN!..
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mi nawaambiaga wa2,kwamba since la 7 ,sis n darasa la majaribio, kumbukeni form 4,walileta form mpya za kujaza kuombda shule A level. Tukaingia A level, wakabadilisha syllabus kat kat ya mwaka (waliosoma Language wanajua kilichotokea), wakaja wakafuta.tunataka kujiunga chuo wamewaleta hawa wapuuzi, na tusishangae huko vyuon mambo wakaya peleke ful kumchuzi. Kumbuken HIKI N KIZAZ CHA KUJARIBU SYSTEM YOYOTEYOTE MPYA KATIKA ELIMU.
<br />
<br />
 
Yani hii nchi hata Mungu nahisi ameichoka kha.. Sisi ni matatizo weeeeeee,kulalamika weeeeee,mvua zikinyesha tunalalamika,zikiacha tunalalamika.. Haya tcu nao,huku Uda,huku ATC,huku UFISAdi na nahic tunaowalilia tcu,hatujajua HESLB kama wapo,ngojen zamu yao mtaona..
 
Yani hii nchi hata Mungu nahisi ameichoka kha.. Sisi ni matatizo weeeeeee,kulalamika weeeeee,mvua zikinyesha tunalalamika,zikiacha tunalalamika.. Haya tcu nao,huku Uda,huku ATC,huku UFISAdi na nahic tunaowalilia tcu,hatujajua HESLB kama wapo,ngojen zamu yao mtaona..
<br />
<br />
hahahahaaa, kweli HESlb wanatuangalia tu, ngoja zamu yao ifike.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom