JamiiForums
Official JF Response
- Nov 9, 2006
- 6,200
- 4,984
Posted by Ta Muganyizi | May 14, 2012
Katika hali inayochanganya TCU walitoa tangazo kuwa kwa wale wahitimu wanaotaka kujiunga na vyo vikuu lazima wanunue vocha kwenye Benki ya NBC watu walinunua kadi hizo wakarudi makwao ili wakwangue waombe nafasi vyuoni. Cha ajabu vocha zote ukizikwangua na kuzitumia unaambiwa vocha number does'nt exist!!! imebidi watoke wilayani kwao kurudi Bukoba mjini..........maaana katika mkoa wa Kagera benki ya NBC iko Bukoba mjini tu, kwingineko benki hiyo haipo. TCU hawajatoa walau tangazo kwa nini vocha hizo hazifanyi kazi na tatizo ni nini!!!!!
Hii imesumbua sana wananchi mwenye maelezo ya kutosha anaweza fafanua hapa inakuwaje. Baadhi wameanza kuhisi kuwa kuna business ya watu wa TCU na NBC maana ni kwa nini isiwe NMB ambayo iko karibia kila wilaya?
Katika hali inayochanganya TCU walitoa tangazo kuwa kwa wale wahitimu wanaotaka kujiunga na vyo vikuu lazima wanunue vocha kwenye Benki ya NBC watu walinunua kadi hizo wakarudi makwao ili wakwangue waombe nafasi vyuoni. Cha ajabu vocha zote ukizikwangua na kuzitumia unaambiwa vocha number does'nt exist!!! imebidi watoke wilayani kwao kurudi Bukoba mjini..........maaana katika mkoa wa Kagera benki ya NBC iko Bukoba mjini tu, kwingineko benki hiyo haipo. TCU hawajatoa walau tangazo kwa nini vocha hizo hazifanyi kazi na tatizo ni nini!!!!!
Hii imesumbua sana wananchi mwenye maelezo ya kutosha anaweza fafanua hapa inakuwaje. Baadhi wameanza kuhisi kuwa kuna business ya watu wa TCU na NBC maana ni kwa nini isiwe NMB ambayo iko karibia kila wilaya?
Last edited by a moderator: