TCU yapunguza vigezo vya kuingia Vyuo Vikuu kwa waombaji wa Diploma 2016/2017

Kweli wamefanya fair ila sasa hata hawajatoa majibu ya diploma walioomba mwanzo tunajuaje kama tumepata au tumekosa ili tu re-apply?
Kama ulikuwa na GPA ya 3.5 maana yake utakuwa umepata, kama ilikuwa chini ya hapo omba upya, ANGALIZO: Nafikiri kwenye account yako unaweza kuona status yako.
 
thubutu juzi mkurugenzi wa bodi ya mkopo alihojiwa akasema hawafungui mpaka mwakani so kuhusu hii kitu sahau
teh...teh....teh....majanga kweli kweli hv kama ile formu ulikuwa nayo imekamilika hukuituma ukiituma sasa inaweza kupokelewa?
 
naona watu kidogo presha na stress zimeshuka kimtindo manaaaake daaaa ilikuwa ni kusikilizia tu no direction
 
KWA WALIOSOMA DIP YA UALIMU NA KUPIGA MTIHANI WA NECTA HIYO 3.0 SI MCHEZO LABDA WALE WALIOPITIA MFUMO WA NACTE NI RAHISI KUIPATA.
MI NASHAURI KWA WENYE DIPLOMA YA UALIMU WA NECTA WAWAACHIE 2.7 YAO TU
 
Serikali haina pesa iko taaabani na inaendeshwa kwa presidential decree lengo la kuweka point 4 kwa form 6 na GPA 3.5 ni kupunguz a watu watakaomba mkopo hivyo kubana matumizi kama ilivyo katika nadharia zao. Na form6 watashusha we ngoja uone. Wanajua sasa hv watu hawawezi kuomba tena mikopo
 
Tumeona TCU walivoshusha gpa kwa ajili ya addition ya wahitimu wa dip kwenda degree from gpa of 3.5 na 3.0, naona sasa Ni muda muafaka wakatufikiria pia sis wa form 6 washushe from point 4 atleast mpaka 3.0 min ili nasisi watoto wa masikini tuweze kwenda chuo, nawasilisha natumaini wapo
Minimum enry na umasikini kunamahusiano ghan kwa mfano.
 
Dunia nzima inajua principal za kuingia chuo ni E mbili

Sasa hizi D mbili sijui zimetoka wapi
 
Tumeona TCU walivoshusha gpa kwa ajili ya addition ya wahitimu wa dip kwenda degree from gpa of 3.5 na 3.0, naona sasa Ni muda muafaka wakatufikiria pia sis wa form 6 washushe from point 4 atleast mpaka 3.0 min ili nasisi watoto wa masikini tuweze kwenda chuo, nawasilisha natumaini wapo

Mtoto wa maskini na kishushiwa point vina uhusiano gani,?
 
KWA WALIOSOMA DIP YA UALIMU NA KUPIGA MTIHANI WA NECTA HIYO 3.0 SI MCHEZO LABDA WALE WALIOPITIA MFUMO WA NACTE NI RAHISI KUIPATA.
MI NASHAURI KWA WENYE DIPLOMA YA UALIMU WA NECTA WAWAACHIE 2.7 YAO TU
Basi na Form 6 alama zishushwe
Huwezi kumridhisha kila mtu
 
Jamani nisaidie kila nikiingia kwenye mtandao TCU wana niletea plofile yangu tu sasa cjajua maana hawajanambia kama nimechaguliwa au LA na mwisho wa profile wananambia wait for selection.
 
Tunapoendesha hii wizara nyeti inapoongozwa kisiasa tunazalisha wataalam ambao wako chini ya kiwango.

Julai 2016 TCU walitoa mwongozo wa form six na diploma kujiunga na degree form six lazima uwe na na point 4 kwenye masomo mawili kwenye combination na diploma G.P.A ya 3.5 lakini cha kushangaza jana TCU wakatoa tangazo la kushusha sifa za kujiunga na degree kutoka point 3.5 G.P.A hadi kufikia 3.0 G.P.A kwa diploma.

je? kumbe walifanya maamuzi bila kufanya utafiti? hii inaharibu sana mfumo wetu wa elimu mtu anaamua tu kuweka vigezo vyake coz mwasiasa.

Hebu Prof Ndalichako acha kuongoza hii wizara kisiasa kwa kuongeza matamko na mlijinadi kwenye vyombo vya habari wadau wa elimu walipolalamika mkasema hamuwezi kushusha marks kwa sababu mnaongeza ubora wa elimu hebu fanyeni utafiti kabla ya yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom