TCU tuwekeni wazi nini hatima ya wanafunzi hawa

shelumwa

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
516
188
c96de74ddce0edd9d460a9b88f6a58c8.jpg


Kuna taarifa ipo TCU inayohusu wanafunzi ambao wamesoma na ambao bado wapo vyuoni kuwa hawakuwa na sifa za kusoma kozi husika sasa wametoa siku kadhaa kuwasiliana na vyuo ambapo mwisho ni 28/2/2017
Sasa kwa sisi tuliopo makazini na majina yapo maana yake nini kwamba kipe tulichosoma hatukustaili au ni nini hasa embu tuwekeni wazi na kwa yoyote mwenye uelewa wa taarifa hii naomba atujuze

Kwa wale watakaotaka kujua waingue TCU utakuta taarifa ya PDF kwa kila chuo na majina ya wanafunzi wake
 
Mhh shughuli shughulini kazi kazini....... Ngoja nikae pembeni niangalie
 
kwa huu upuuzi bhas kuna uwezekano malaika akakumbukwa kuliko hata baba wa taifa la bongo,yan kavuluga kila kitu alichokikuta,pia akaanza kwa kutuludisha enzi za ukoloni sasa anatupeka zama za mawe!
 
kama tangazo litahusu na waliomaliza bhas tuanzie kwa kuangalia phd aliyosomea malaika kama alistahili maana inampwaya sana
 
Mmh htr kwan wlokuwa wanawadahili c wao wenyew walikuw na vgezo gn ama pengne walikuwa na sababu zao
 
Back
Top Bottom