Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Kamisheni ya vyuo vikuu nchini(TCU), inapaswa kutoa tamko juu ya uhalali wa shahada ya heshima aliopewa Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma na si kukaa kimya kama hawahusiki ili hali jambo hili mpaka sasa teyari limezua mjadala mpana mitandaoni.
Tamko lao ni wazi litazua mjadala mpya iwapo kweli chuo hicho hakitambuliki lakini watakuwa wamemaliza utata uliopo na zaidi watakuwa wamesaidia wengine wasitapeliwe iwapo chuo hicho kweli ni cha kitapeli kama inavyodaiwa.
TCU timizeni wajibu wenu na tukio hili liwaamshe muweke mikakati kuhakikisha jambo hili halijirudii tena hapa nchini vinginevyo tutahisi na nyinyi ni sehemu ya tatizo.
Hili inawahusu either moja kwa moja au vinginevyo.
Tamko lao ni wazi litazua mjadala mpya iwapo kweli chuo hicho hakitambuliki lakini watakuwa wamemaliza utata uliopo na zaidi watakuwa wamesaidia wengine wasitapeliwe iwapo chuo hicho kweli ni cha kitapeli kama inavyodaiwa.
TCU timizeni wajibu wenu na tukio hili liwaamshe muweke mikakati kuhakikisha jambo hili halijirudii tena hapa nchini vinginevyo tutahisi na nyinyi ni sehemu ya tatizo.
Hili inawahusu either moja kwa moja au vinginevyo.