Quicklime
Senior Member
- Mar 30, 2011
- 174
- 62
Habari zenu binafsi! Mi mzima naendelea kupumua kwa kweli.jamani hawa tcu wanataka raia tuchukue uamuzi gani? Wanatoa hadi tarehe ya kutoa majibu halafu wanapotezea.sio mambo na ninaungana na jamaa aliyewahi kuweka thread kuwa siasa ishaingia tcu,halafu watu wakambishia na ndio tunachokiona sasa.hvi deadline za applications mbona hawaziongezi? Wanatuchosha aisee!isiwe taabu kwa kweli.....