TCU na vyuo abroad...

Mpelijr

Member
May 17, 2010
89
11
Ndugu zangu nimekuja kugundua kuwa hawa jamaa wetu wa vyuo vikuu nao hawafai.kuna rafiki yangu alimaliza chuo chake india ila cheti chake kilikosewa jina asa kwenye kufuatilia ndiyo wakafika tcu..hawa tcu wakapiga simu chuoni kwao na kesho yake wakamwambia mama yake kuwa hicho chuo alichokuwa anasoma mwanae ni cha mtaani,hapakutosha nyumbani kwao siku hiyo lakini kumbe tatizo ni kuwa tcu waliwapigia simu watu wa chuoni kule na kuongea na mhindi mmoja wao kwa kuwa tu yule aliyemcontact hawakuweza kuelewana lugha basi jamaa wa tcu aka conclude miaka 4 ya mtu wa watu kuwa alikuwa anasoma chuo cha mitaani....tcu acheni.....mtu asome miaka mi4 au 5 nyie mje muongee na chuo chake dakika 2 halafu mseme hamkitambui hicho chuo au ni cha mtaroni...hatutaki kama hamjui lugha ajirini ma translators!!!!!!!!!
 
Ndugu zangu nimekuja kugundua kuwa hawa jamaa wetu wa vyuo vikuu nao hawafai.kuna rafiki yangu alimaliza chuo chake india ila cheti chake kilikosewa jina asa kwenye kufuatilia ndiyo wakafika tcu..hawa tcu wakapiga simu chuoni kwao na kesho yake wakamwambia mama yake kuwa hicho chuo alichokuwa anasoma mwanae ni cha mtaani,hapakutosha nyumbani kwao siku hiyo lakini kumbe tatizo ni kuwa tcu waliwapigia simu watu wa chuoni kule na kuongea na mhindi mmoja wao kwa kuwa tu yule aliyemcontact hawakuweza kuelewana lugha basi jamaa wa tcu aka conclude miaka 4 ya mtu wa watu kuwa alikuwa anasoma chuo cha mitaani....tcu acheni.....mtu asome miaka mi4 au 5 nyie mje muongee na chuo chake dakika 2 halafu mseme hamkitambui hicho chuo au ni cha mtaroni...hatutaki kama hamjui lugha ajirini ma translators!!!!!!!!!

Mkuu kama sababu ni kuwa aliyefanya mawasiliano first hand alikosema, cha muhimu ni kufanya ufuatiliaji wa karibu kabla ya kuwatuhumu!! Kwa mfano, je unajua protocol ya recognition ya vyuo vya nje? Unaweza kuanzia hapo, ukishajua protocol, then unapambana nao kwa kufuata utaratibu walijiwekea ili kupata haki yako!!!

Good luck na pole.
 
Mkuu kama sababu ni kuwa aliyefanya mawasiliano first hand alikosema, cha muhimu ni kufanya ufuatiliaji wa karibu kabla ya kuwatuhumu!! Kwa mfano, je unajua protocol ya recognition ya vyuo vya nje? Unaweza kuanzia hapo, ukishajua protocol, then unapambana nao kwa kufuata utaratibu walijiwekea ili kupata haki yako!!!

Good luck na pole.
Ni sawa lakini ujue hapo walisha haribu mahusiano ya mtu na mzazi wake,we fikiria mzazi anajua hapo kwamba miaka 4 alikuwa anatuma hela hewani...halafu suala siyo recognition protocol ni ka uzembe walikojijengea TCU,they feel like they can decide whats this and whats that..na chuo chenyewe kipo recognized intl. na wanajenga campus hapo bongo...ni punjab technical university!!!!!
 
Ni sawa lakini ujue hapo walisha haribu mahusiano ya mtu na mzazi wake,we fikiria mzazi anajua hapo kwamba miaka 4 alikuwa anatuma hela hewani...halafu suala siyo recognition protocol ni ka uzembe walikojijengea TCU,they feel like they can decide whats this and whats that..na chuo chenyewe kipo recognized intl. na wanajenga campus hapo bongo...ni punjab technical university!!!!!
nenda zako wewe kwani ina maana wewe kama graduate huwezi kujitetea na kuonyesha kuwa chuo chako kiko full registered na accredited? yani graduate unashindwa kujitetea?
 
Back
Top Bottom