BabJonii
Member
- Aug 14, 2012
- 27
- 8
sjawah kuona taasis yenye mipango mibovu kama TCU. Wamewaandikia watu kwenye profile zao wamechaguliwa Agribusiness SUA alaf hatuoni majina, kisa madarasa hayatosh watu 50 majina yamerudishwa TCU.. Sasa hawa tcu wanafanya vitu bila ushirikiano na chuo husika ama?