TCU mulikeni kero hizi Kampala international university (KIU)

Hichi chuo ukiona huwezi kiache tuu ,ka ss tuliokiacha wanafuata mitaala ya UG .cheki prospectus yao kisha tizama grade sysytem zao ni tofauti na vyuo vingine tz may be wawe wamebadili

.au ingia google andika mgomo wa kampala university uone ss tuligomea nn.

Its so pain when i here this university.

Ukiweza kasome hukataliwi. Ila.....
huu mwandiko sio kwa mtu aliyefika ngazi ya chuo kikuu
 
Mkuu inaonekana ww ni mwanafunzi wa hapo, na ni kawaida sana Kwa mwamb ngoma kuvutia kwako, but in reality hicho chuo kina uozo mkubwa sana.
Nilipita baadhi ya hospital aisee wanakijadili kua hawawez wakajachukua mwanafunzi wa hiko chuo.

Mi binafsi hata niwe nimefail form six na nkaambiwa nikasomeshwe bure KIU, sitokubali hata kidogo ni bora niache tu kusoma,mana hapo chuoni kuanzia taaluma na wanataaluma ni bomu tu.
kijana kumbe hujamaliza hata form six halafu unapambana kukosoa taaluma ya wanachuo fulani, !!!?!?
 
Kama Mwananchi wa kawaida lazima nipige kelele kwa nguvu kabisa umma usikie, kile chuo kinaendeshwa kiujanja ujanja hakuna utaratitibu unaoeleweka. Wanafunzi wanateseka, uongozi unapishana kimaamuzi hakuna kinachoeleweka ndani ya chuo hicho. Mimi kama mzazi au mlezi wa wanafunzi ninaowasomesha kwenye chuo hicho naomba kuwasilisha malalamiko yangu ili mamlaka zisikie.

1.Chuo kinatosa gharama kubwa za ada nje na maelekezo aliyotoa mh Rais,

2.Hivi inakuwaje walimu wanapika supplementary kuwatengenezea wanafunzi ambao hata wamefaulu? Supplementary ya somo moja ni Tshs 40,000/= kwa kila somo. Kwakua hakuna option ya mwanafunzi kuona matokeo yake ya mwisho wa Mwaka hivyo hata akiwekewa supplementary hawezi kujua imetokana na nini? Kwahiyo ni biashara mwanzo mwisho.

3. Vijana hasa wa fani za afya wanalalamikia kuwekewa ratiba za mitihani ya wakati wako kwenye mafunzo ya kitendo hawapo chuoni,wanaporudi wanakuta ratiba imebandikwa bila hata ya kupewa muda wa kujisomea, hii inapangwa makusudi ili kuwatengenezea wanafunzi supplementary za makusudi ili pesa ziongezeke zaidi ya ada. Kile chuo sijui kuna mkono wa watu wakubwa huko juu sio bure.

4. Hivi inakuaje ratiba ya supplementary ya semester ya1&2 zinafanyika siku moja? Yaani Mwanafunzi anafanya masomo mawili tofauti kwa wakati mmoja kwenye mzesa moja muda na mmoja. Mmewahi kuonana wapi? Hawa ni wageni hawana uchungu na elimu ya watanzania wazawa, huu wote sio utapeli ni nini?

5.Inasemekana kua kwenye chuo hicho rushwa ngono baina ya wanafunzi na walimu imepamba moto, mtoto wa kike bila kufunua sketi hata asome vipi shule yake ngumu.Kuna tuhuma za wanigeria na Wakenya ambao ndio wanaendekeza uhuni huo chuoni hapo. TCU kwa utawala huu wa sasa haya yanatokea mko madarakani mnataka tuwaletee ushahidi ofisini kwenu au tuende TAKUKURU? Wazazi tunaumia sana na haya mambo.

Hawa hawajali watoto wa watanzania, wanekuja kufanya biashara wachunguzwe na kuchukuliwa hatua haraka hawafai hawa.
Mimi nimesoma hapo kampala nimemalza diploma ya medical laboratory cjawahi kupata supp kwenye mtihan wa chuo wala wa wizara ya afya nmepata licence na sasa hivi nmepata kazii na nilifanya interview tatu na sasa hiv nmepata kazi hospital ya private tena hospital kubwa tuu hapa dar...kuhusu supp mwambie mwanao asomee maana hata wanafunzi niliokua nasoma nao wamepata piaa.....na kuhusu ada alivyokua anaomba chuo hakuona ada kama ni kubwa au alilazimishwa kuchagua chuo cha kampala........na kuhusu papuch mie ni mdada nimesoma cjawah kuombwa wala kugawa sababu ya kupewa marks....matokeo hua wanabandika kwenye notes board nenda ulete ushahid kwamba wanafunz hawafaulu ...na grade za pale n tofautiii na kwingine pale c n 50 so mwambie mwanao asome kwa bidiii na kama unaona ada kubwa muhamishe mwanao...
 
Mimi nimesoma hapo kampala nimemalza diploma ya medical laboratory cjawahi kupata supp kwenye mtihan wa chuo wala wa wizara ya afya nmepata licence na sasa hivi nmepata kazii na nilifanya interview tatu na sasa hiv nmepata kazi hospital ya private tena hospital kubwa tuu hapa dar...kuhusu supp mwambie mwanao asomee maana hata wanafunzi niliokua nasoma nao wamepata piaa.....na kuhusu ada alivyokua anaomba chuo hakuona ada kama ni kubwa au alilazimishwa kuchagua chuo cha kampala........na kuhusu papuch mie ni mdada nimesoma cjawah kuombwa wala kugawa sababu ya kupewa marks....matokeo hua wanabandika kwenye notes board nenda ulete ushahid kwamba wanafunz hawafaulu ...na grade za pale n tofautiii na kwingine pale c n 50 so mwambie mwanao asome kwa bidiii na kama unaona ada kubwa muhamishe mwanao...
Ila vp medial lab pale kampal ktk diploma imekaza sana au y kawaid 2 maan nimechaguliw pale
 
Hivi mtu aliyesoma Kampala university degree ni sawa na certificate tu hao jamaa ni matapeli tu hamna kitu nna ndugu yangu kasoma hapo two years ameona ubabaishaji akapiga chini ameaply chuo kingine yaaani kampala ni wa kuwaitia kelele za wizi tu
 
Mkuu ni kweli mie ni mwanafunzi wa pale..

Wewe KIU unaisikia tu .. Unaweza jenga hoja tuone ni uozo gani unaozungumzia !!

Wataalamu feki !! Kama hujui kitu ni bora ukakaa kimya tu mkuu ..pale KIU kuna waalimu kutoka makelele (chuo bora east Africa)..wapo waliotoka muhimbili ,,nk ..ambao wewe na umbea wako hujazifikia ,, na wala hutazifikia CV zao daima ...

Afu kusoma KIU sio kuwa mtu amefeli....unatakiwa ufahamu kuwa sahivi watu wengi wanasoma science na kufaulu ..sio kila mtu atapata nafasi MUHAS,KCMUCo au CUHAS kutokana na ushindani ... Mfano mzuri mwaka jana kwenda chuo ilikua minimum uwe na two ya 12...hivyo first year waliopo KIU wanaufaulu kuanzia two 12,11,10 na one za 8..9 hivi.....kupata two ya PCB sio mchezo ukizingatia wengine wamesoma shule mbovu ....afu Leo anatokea mtu anabeza pengine hata cover ya BS haijui ...watanzania tubadilike....
Kweli mkuu watu wengi wanashindwa kuelewa kwamba saivi mambo yamebadilika wanafunzi wengi wanaufaulu mzuri na wanataka kusoma kozi za afya,je wote waende muhas?...

Mwaka huu wanafunzi ambao wanaingia second year asilimia kubwa wanaufaulu mzuri sana one za tisa,two 10,11 zipo kwa asilimia kubwa..

Kuhusu wataalamu,wabongo tuacheni unafki jamani.pale KIU kuna waadhiri wakubwa tu ambao walikuwa pia Muhas,mtu kama dr.kabati,chambuso na wengine wengi

Tatizo letu tunapenda sana kuropoka sana..issue ya sup ipo vyuo vyote na inafanyika september ili matokeo yakamilike yatumwe tcu na heslb
 
Aisee hichi chuo kimeoza balaaa , kuna rafki yangu anasoma hapo naona malalamiko yake yaani anajuta kwann kapoteza mda wake bure na hizo rushwa kwa walimu ni japo la kawaida mno hata km vyuo vyote hayo mambo yapo ila kiu unanunua "A" ya somo gumu lao ktk semester husika kwa 50000 tu nina ushahidi
Hizo A mbona kwenye matokeo hazionekani,hao wanazozinunua ni wa wapi??
 
  • Thanks
Reactions: snn
Unatakiwa ukazee maana cats ni za chuo but mitihan ya kila mwisho wa mwaka ni ya wizara ya afya ambayo hua inafanywa na vyuo vyote vinavyocmamiwa na wizara ya afya.....so ni kusomaa tuu ndo cha msingii na ukiweka nia utafaulu vzurìi tuu....na n uhakika maana chuo kmesajiliwa na nacte na wizara ya afyaa.....
 
Mi nazan amkijui hich chuo mwenywe nasoma apo hila nataka fanya transfer ikiwezekana nianze moja maana ata ukienda chuo kingine ukiwatajia kiu tu wanstuka wengine wanakwambia atuziamina credt za uko xo inakua ngumu kufany credt transfer
Kwa ushaur wng anaeenda chuo jitahid uende cha serikal ilitokea la kutokea uko chini ya mwamvuli wa serikali.
Sasa mi yalionikuta uko kampala mpk naogopa kusema
 
kijana kumbe hujamaliza hata form six halafu unapambana kukosoa taaluma ya wanachuo fulani, !!!?!?

Hahahaha ungejua unajibizana na nani? Hahaha kwa taarifa yako mimi nina masters ya structural engineering (chuo London institute of technology) na bachelor yangu nilichukua chuo cha taifa cha tanzania (UDSM - Civil Engineering) kipindi hicho ni FOE, na Nipo kwenye wizara nyeti tu nakula zangu mpunga wa kutosha kutokana na projects za maajabu ninazozifanya, Hata kipind hcho chuo cha wanataaluma washenzi kama wa hapo KIU walikua ndo kwanza wanaangaika ku forge taaluma zao, sasa eti unafundishwa na kilaza unategemea nn.

Jamani nawaasa wazazi wenzangu hebu toeni watoto wenu hapo ni bora muwapeleke wakasome C. O kuliko kupoteza muda hapo KIU
 
Mkuu watu wangekuwa wananunua marks..kusingekuwa na kufanya supplementary ...nenda sahivi KIU pale.. watu kibao wapo wanajikwamua na vimeo vyao . tangu trh 2 hadi trh 14 ndio mwisho... Na kuna masomo watu wamedakwa wakutosha tu 99..58..34 nk ..unataka kuniambia hao wao hawana hela ??? Acha umbea na kuandika vitu vya kusikia tu ..hizo mambo zipo sikatai ..ila sio kihivyo sasa

Mwingine huyo hapo kaja wa KIU, hapa mtaibua wengi kutoka shimoni la KIU.

Ila bora umejirafakari mwenyewe na kujiita DR. KUKU (kichwa empty) si ungejiita DR fulan kama kweli unajivunia na DR ya hapo. Hahahaha hawa ma Doctor huwez kuwakuta serikalini au ma hispitali makubwa zaidi utawakuta wapo kwenye hospital bubu tu za vichochoroni. Hospital kubwa za private ama za serikali utawakuta wanafunzi sa Muhimbili, bungando KCMC Hubert kairuki, taasisi ya jakaya na zingine. Kwahiyo mtaendelea kuwa punguwani tu hapo KIU
 
Hivi mtu aliyesoma Kampala university degree ni sawa na certificate tu hao jamaa ni matapeli tu hamna kitu nna ndugu yangu kasoma hapo two years ameona ubabaishaji akapiga chini ameaply chuo kingine yaaani kampala ni wa kuwaitia kelele za wizi tu

Mkuu hao jamaa ni kheri ya hata waliosoma CLINICAL OFFICER ila sio madaktari feki wa KIU
 
Back
Top Bottom