Any request from above is a command.The King's request is the Command.
Hivi ni kweli kwamba wamezingatia utafiti kufanya Haya maamuzi au ni hisia tu maana kwa nijuavyo CAS ilikuwa nzuri wangedhibiti 10% kwa sasa uwezekano wa kuweka rushwa zaidi na uonevu kwenye kuchagua utakuwa mkubwaBinadamu sisi, mungu mwenyewe ndo anajua. Rais wako alikuwa haipendi CAS , TCU wameivunja, what if CAS inakuchagua ktk chuo usichokipenda?
Narrow Thinking!Kwanza wewe mtoto unaogopaje gharama wakati atalipa mzazi au mlezi wako? Acha kila mtu atimize ndoto ya kusoma chuo anachokipenda ili vyuo viwe na ushindani wa kuboresha elimu na sio kusubiri kuhonga TCU
Umenena vyema Mkuu.Ndio maana tutachewa kuendelea,yani mtu mmoja tu kwa utashi wake anabadilisha kila asicho penda.yalishatokea sana huko nyuma ila bado hatujifunzi.
Vyuo vinavyodaiwa kutokua na sifa kwanini viendelee kuwepo?.
Kwani CAS wanaapply bure ?Tatizo ndo linapokuja hapo, better kuwa na system moja ambayo ni unified kuliko kuwa na system tofauti tofauti. kumbuka kuna gharama za ku apply, ubora wa mifumo pia unatofautiana ..
Hicho unachosema eti "kama chuo hakina watu wa kutosha basi TCU inajazia" ndio chanzo cha malalamiko na ndiyo sababu kubwa ya kutupilia mbali mfumo huu. Yaani unilazimishe nikasome degree ya "gender" sijui kitu gani eti Ustawi wa Jamii kwa lengo tu la kujazia chuo kilichopungukiwa wanafunzi? Vipi kuhusu career aspiration zangu, mfano nataka kusoma uchumi, ndiyo passion yangu na nimefaulu vizuri? Huu ni upumbavu na ndio sababu mojawapo ya umasikini. Kama chuo kimeanzisha kozi ambazo hazina soko wala mvuto kwa wanafunzi, chuo hicho kinapaswa kipate feedback kwa njia ya kukosa waombaji wa kozi hiyo, ndipo kitajirekebisha. Utaratibu wa 'kujazia' wanafunzi kwenye vyuo vyenye taaluma duni au kozi zisizo na soko haufai hata kidogo. Vyuo vitengeneze kozi zenye ubora na zinazohitajika sokoni, na vijijenge kitaaluma kuvutia wanafunzi, vikiwa na ranking nzuri watu watavichangamkia tu. Hongera JPM na Prof Ndalichako, kwa hapa mmefanya sahihi kabisa.
watapoke division 3 na 4 nying sana na gpa za 2 mpaka 2.9 nitaziona sana hivi vyuo st joseph imtu kairuki kiu teku tumaini na matawi yake jordan rucoKwa huu mfumo, vyuo vya private vitajizolea pesa nyingi sana.
Maana mambo yao yapo kipesa zaidi.
TCU hailikuwai kupeleka mtu sehemu asiyoichagua ukiona umechaguliwa ujue uwezo wako uliishia apo.Elimu ya juu sio sekondari kua tcu ikupangie unatakiwa wewe uombe mwenyewe nafasi. Ni mfumo uliokuepo na ni mfumo unaotumika sehemu nyingi duniani. Tatizo watu mnapenda kufanyiwa maamuzi na watu wengine ni utamaduni mbaya ambao unaendekezwa sana africa
Kuna impact pia...Kuna vyuo uchwara walikuwa wanapewa wanafunzi kiubwete bila ushindani wa ubora ....sasa washindane ....chuo bora kipate wanafunzi bora ili ushindani halisi uwepo ....
watapoke division 3 na 4 nying sana na gpa za 2 mpaka 2.9 nitaziona sana hivi vyuo st joseph imtu kairuki kiu teku tumaini na matawi yake jordan ruco
Kweli kabisa mkuu.Kuna impact pia...
Ni bora hiyo CAS ingeboreshwa na si kuifuta....Hapa Watoto wa maskini wameshaa...
Halafu watu kupangiwa kozi wasizotaka litaongezeka maana competition itakuwa kubwa sana...Kweli kabisa mkuu.
Vyuo vya private vitajichumia pesa nyingi sana kwenye usahili jambo ambalo litakuwa na athari kubwa kwa watoto wa masikini
Wewe hujakaa chini na kutafakari madhara yake...ina madhara makubwa afadhali CASMfumo wa sasa unatoa mwanya kwa mwanafunzi kuchagua chuo na kozi aipendayo. Hakuna kitu chabure na rahisi dunia hii ya sasa. Unataka vyuo tayarisha fedha nenda kalipie applicatiob form
JPM kaathiri sana wafanyakazi wake! Tuchume tu haya anayoyapanda maana watumishi wanapokea maagizo bila kutafakari faida na hasara zake, wanaishia kutekeleza hata kama roho zinawasuta.Halafu watu kupangiwa kozi wasizotaka litaongezeka maana competition itakuwa kubwa sana...
Ni bora kupangiwa chuo ambacho si chaguo lako lakini kozi iwe chaguo lako, kulikoni kupangiwa kozi ambayo si chaguo lako ila chuo ulikipenda...
Wata fail na watairudisha CAS....mark my word