Thomas10
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 841
- 2,268
huwa nashangaa sana hizi taasisi zinazojiita HURU
hiv rais anaposema fanyeni jambo flani...na niny kwa taaluma yenu mlikuwa mmejiwekea mkakati mlioona unafaa zaidi, kwanini msikatae au msimshauri akubaliane na mkakati wenu!!!???
kwa mfano mfumo wa udahili wa TCU..ulibadilishwa miaka flani ya katikati kutoka ule wa mwanafunzi kuomba moja kwa moja chuoni na kuanza kusimamiwa na TCU
na kwa maelezo yaloshiba, ulionekana ndio mfumo unaofaa kabisa
sasa inakuaje wakubali kurudi kule walikotoka tena bila ya sababu za msingi???
huo uhuru upo wapi
hiv rais anaposema fanyeni jambo flani...na niny kwa taaluma yenu mlikuwa mmejiwekea mkakati mlioona unafaa zaidi, kwanini msikatae au msimshauri akubaliane na mkakati wenu!!!???
kwa mfano mfumo wa udahili wa TCU..ulibadilishwa miaka flani ya katikati kutoka ule wa mwanafunzi kuomba moja kwa moja chuoni na kuanza kusimamiwa na TCU
na kwa maelezo yaloshiba, ulionekana ndio mfumo unaofaa kabisa
sasa inakuaje wakubali kurudi kule walikotoka tena bila ya sababu za msingi???
huo uhuru upo wapi