TCU mnajichanganya, angalia hapa

Damy Scotty

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
717
453
Habari za weekend wakuu..

Ufafanuzi unahitajika hapa, hivi hoja ya msing ya TCU ni angalau D mbili au angalau point 4.0? Au vyote? Tazama huo mfano

1) Mtu mwenye D D E anakua na points 5 (dvn 3 pnt 13) na anakua nasifa ya kwenda chuo kikuu (kwa mujibu wa rank za waliomaliza 2014 kurudi nyuma)

2) Same case mtu mwenye A E E anakua na points 7 dvn 2 pnt 11) lakin hana sifa ya kujiunga na chuo kikuu

Naomba kujua ipi hoja ya msingi kati ya D mbili au point 4.0?

Mana ukiangalia hapo juu huyo mtu mwenye A E E ana division 2 ya point 11 kafaulu zaid ya huyo wa kwanza ambae ana division 3 ya point 13

Lakini cha kushangaza mwenye sifa ya kwenda chuo kikuu ni huyo mwenye 3 ndo anastahili, hii iko sawa kweli?


I STAND TO BE CORRECTED
 
Hawajajichanganya...
Zote mbili ni sifa lazma uwe na D mbili na point 4...
Mean ukiwa na A na E mbili unakuwa point unafikisha ila sifa ya D mbili huna so chuo hapo hamna....

Inamana mwenye daraja la 2 hana sifa af mwenye 3 ana sifa iko sawa hiyo? kwa comon sense tu mkuu
 
Kijana kama umepata A E E we nenda kalime tu... Sasa huoni kama baadhi ya kozi ambazo huitaji walau D mbili za masomo ya A level utazisikilizia redion... Acha kujichanganya kinachohitajika ni ni D mbili achana na point zako hizo.... Kama ni pointi mbona humtetei MTU ambae kapata A F F ambayo kimsingi ni pointi 5
 
Habari za weekend wakuu..

Ufafanuzi unahitajika hapa, hivi hoja ya msing ya TCU ni angalau D mbili au angalau point 4.0? Au vyote? Tazama huo mfano

1) Mtu mwenye D D E anakua na points 5 (dvn 3 pnt 13) na anakua nasifa ya kwenda chuo kikuu (kwa mujibu wa rank za waliomaliza 2014 kurudi nyuma)

2) Same case mtu mwenye A E E anakua na points 7 dvn 2 pnt 11) lakin hana sifa ya kujiunga na chuo kikuu

Naomba kujua ipi hoja ya msingi kati ya D mbili au point 4.0?

Mana ukiangalia hapo juu huyo mtu mwenye A E E ana division 2 ya point 11 kafaulu zaid ya huyo wa kwanza ambae ana division 3 ya point 13

Majibu wanayo TCU na NACTE ndiyo maana sites zao kwa sasa zipo offline, kuwa na subira guide book linakuja na majibu yote.

Lakini cha kushangaza mwenye sifa ya kwenda chuo kikuu ni huyo mwenye 3 ndo anastahili, hii iko sawa kweli?


I STAND TO BE CORRECTED

Majibu wanayo TCU na NACTE , kuwa na subira guide book linakuja na majibu yote.
 
Kijana kama umepata A E E we nenda kalime tu... Sasa huoni kama baadhi ya kozi ambazo huitaji walau D mbili za masomo ya A level utazisikilizia redion... Acha kujichanganya kinachohitajika ni ni D mbili achana na point zako hizo.... Kama ni pointi mbona humtetei MTU ambae kapata A F F ambayo kimsingi ni pointi 5

Garbage, sasa A F F unamteteaje wakat ana principle moja? hyo hata kabla ya hvyo vigezo vipya alikua haendi coz hyo ni principle moja tu ndo anayo ila huyu mwenye A E E ana principle zote 3 ( A mpk E zote ni principle) au hujui? Af hyo A F F inakuaje point 5?
 
Back
Top Bottom