SAMWEL MBALASWA
Member
- May 5, 2018
- 7
- 0
Ngugu zangu,
Chuo hiki kinachoitwa Tumaini Makumira kituo cha Mbeya au SHUCO imekuwa ni tatizo katika Swala zima la elimu ya vijana wa Kitazania.
Tangu Mwaka 2017 katika kati, nimekuwa nikimwandikia Mkurugenzi Mtendaji wa TCU ili kuangalia chuo hiki kwa jicho la pembeni.
Nashukuru kwamba ukaguzi ulifanyika baada ya walimu 7 kuacha kazi kwa mkupuo mnamo February 2017 na kuondoka na course work za wanafunzi huku wengine wawili wakiacha mapema Novemba 2016.
Baada ya hapo nilishangaa kuona wanafunzi wanahitimishwa, ashukuriwe Mungu TCU iliamua kufuta uhitimishwaji ambao ungefanyika mwezi 12 mwaka.
Soma Attachements mbili uone kinachoendelea huko;
Ninaomba Serikali ifunge hiki chuo kama ilivyopendekzwa na kamati ya Quality Assurance ya TCU ili wanafunzi hao wakaendelee na masomo Tumaini Makumira Arusha.
Kwa sasa kuna wanafunzi 18 wanaotakiwa kufukuzwa chuo kwa kosa la kudai haki ya kuhamishiwa Arusha.
Serikali isifumbue swala hili macho, fedha nyingi zinatumika kusomesha wanafunzi hao.
Chuo hiki kinachoitwa Tumaini Makumira kituo cha Mbeya au SHUCO imekuwa ni tatizo katika Swala zima la elimu ya vijana wa Kitazania.
Tangu Mwaka 2017 katika kati, nimekuwa nikimwandikia Mkurugenzi Mtendaji wa TCU ili kuangalia chuo hiki kwa jicho la pembeni.
Nashukuru kwamba ukaguzi ulifanyika baada ya walimu 7 kuacha kazi kwa mkupuo mnamo February 2017 na kuondoka na course work za wanafunzi huku wengine wawili wakiacha mapema Novemba 2016.
Baada ya hapo nilishangaa kuona wanafunzi wanahitimishwa, ashukuriwe Mungu TCU iliamua kufuta uhitimishwaji ambao ungefanyika mwezi 12 mwaka.
Soma Attachements mbili uone kinachoendelea huko;
Ninaomba Serikali ifunge hiki chuo kama ilivyopendekzwa na kamati ya Quality Assurance ya TCU ili wanafunzi hao wakaendelee na masomo Tumaini Makumira Arusha.
Kwa sasa kuna wanafunzi 18 wanaotakiwa kufukuzwa chuo kwa kosa la kudai haki ya kuhamishiwa Arusha.
Serikali isifumbue swala hili macho, fedha nyingi zinatumika kusomesha wanafunzi hao.