kituma12
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 301
- 122
Entry requirement ni kwa total lakini kumbuka katika kila kozi kuna minimum cut points zakeKilichofanyika sasa ni kuweka entry requirements zinazofanana kwa vyuo vyote. So kama haujafikisha entry requiremens, sidhani kama kuna haja ya kuomba vyuo vingi. Na kama uko kwenye cut off point ya entry requirement, no bora kuomba vyuo visivyo na ushindani mkubwa.
Wanafunzi wengi watakosa vyuo hilo lipo wazi