Acha kuongopa mkuu hawajasema hizo d mbili zako wamesema point nne soma maelekezo vizuri acha kukariri mtu anaweza kuwa na c+e ni point je ni d mbili?Altelest 2D
Nkatika kuwekana sawa tu mkuu...nazo n point pia anaenda...asanteAcha kuongopa mkuu hawajasema hizo d mbili zako wamesema point nne soma maelekezo vizuri acha kukariri mtu anaweza kuwa na c+e ni point je ni d mbili?
ohooo apo sawa so ile principle pass inayojulikana dunia nzima kuwa ni E bongo sasa D lakin ajra bado kilio na madini bado tunaibiwaDuuh mi mvivu kuandika ila hiyo miaka kulkua na big result now so grades zlpunguzwa tofauti na miaka ya kawaida..so wenyewe walkuwa na wepes..nadhan umeelewa kdg
Mi naona wajipange vizur wasije wakafeli katka hilicjui wata-avoid vp suala la mwanafunz mmoja kupangiwa vyuo zaid ya kimoja
usisahau pia ma dr nao wana watoto wa ndugu zao wana div 3 za 14-17 watawaweka kilazima kozi cas ilikuwa ina kutema mapema hofu ni hyo...Naona UDsm ikingaa tena maana watachagua watoto wenye utimamu
Ni kweli kabisa hilo ni jambo la kuangalia kwa umakini mkubwa,na sie watoto wa maskin tukajikuta tunashindwa kufikia malengo yetuusisahau pia ma dr nao wana watoto wa ndugu zao wana div 3 za 14-17 watawaweka kilazima kozi cas ilikuwa ina kutema mapema hofu ni hyo...
maana najua mwaka jana wengi walitemwa wenye ufaulu huu CEE,BEE,AEE,DEE, so hao msishangae huu mwaka wa kiwa chuoNi kweli kabisa hilo ni jambo la kuangalia kwa umakini mkubwa,na sie watoto wa maskin tukajikuta tunashindwa kufikia malengo yetu
That true kabisa nina waswas sana,duh apa kazi ipo for suremaana najua mwaka jana wengi walitemwa wenye ufaulu huu CEE,BEE,AEE,DEE, so hao msishangae huu mwaka wa kiwa chuo
hao ni mwaka jana + wa mwaka huu na wale wa 10 ya nyuma ahaaa ngoma itakuwa nzito sana wakitaka kuwaweza kila chuo kipange cut off point hune kama kuna vyuo vtapata wanafunziThat true kabisa nina waswas sana,duh apa kazi ipo for sure
Kwani D mbili si anaruhusiwa ku-apply Diploma au Bachelor.Acha kuongopa mkuu hawajasema hizo d mbili zako wamesema point nne soma maelekezo vizuri acha kukariri mtu anaweza kuwa na c+e ni point je ni d mbili?
kweli mkuu hata third ipoNdio maana kukawa na second selection kama Chuo kikiwa na watu wachache
tcu bado ni wakulupukaji tu hili swala kwao litawaibisha vibaya sana nadhani ishu ya vyeti feki mliona ndalichako anaizamisha elimu yetu shitIla wamerudisha deal kwa registers na academic officers watapiga hela na kuanzisha entry exams kwa baadhi ya vyuo, kwa ufupi rushwa inarudi kama hapo awali.