mwanakijiji lugusi
Senior Member
- Apr 13, 2016
- 128
- 96
Habari wanabodi
Napenda kuwauliza hawa watu wa TCU pamoja na open university mwaka Jana tume ya vyuo vikuu TCU iliutangazia umma ya kwamba wamerudisha program ya foundation kwa wale wahitimu ambao walipungukiwa sifa za kujiunga na vyuo vikuu.Hii program walisema itaendeshwa na Chuo kikuu huria cha Tanzania tu.
Pia TCU katika taarifa yao ilitoa vigezo vya mwanafunzi atakayesoma coarse hii ni lazma afikishe GPA 3.0 + kila somo liliopo katika comb yake lazima apate C Kwa masomo aliyosomea advanced level Mfano kama ni PCM lazima apate kuanzia C na masomo mengine ya ziada kama DS,Communication skills na ICT lazma afaulu vizr ili apate GPA hiyo.
Maajab ya karne
Ki ukweli vijana takriban 3000 walidahiliwa kusomea hiyo program
Matokeo yaliyotangazwa juz kati na OPEN UNIVERSITY yameonyesha vijana waliofaulu ni 554 tu sawa na asilimia 25% tu
Lakin baada ya matokeo hayo wale waliofaulu wameshindwa kuomba kabisa kwa sababu kwenye mifumo ya vyuo mbalimbali hakuna option ya foundation results
Na ukisoma muongozo wa TCU GUID BOOK wamesema hawa vijana waombe vyuo wanavyotaka wao
TCU TOEN TAMKO JUU YA MUSTAKABALI YA HAWA VIJANA
Napenda kuwauliza hawa watu wa TCU pamoja na open university mwaka Jana tume ya vyuo vikuu TCU iliutangazia umma ya kwamba wamerudisha program ya foundation kwa wale wahitimu ambao walipungukiwa sifa za kujiunga na vyuo vikuu.Hii program walisema itaendeshwa na Chuo kikuu huria cha Tanzania tu.
Pia TCU katika taarifa yao ilitoa vigezo vya mwanafunzi atakayesoma coarse hii ni lazma afikishe GPA 3.0 + kila somo liliopo katika comb yake lazima apate C Kwa masomo aliyosomea advanced level Mfano kama ni PCM lazima apate kuanzia C na masomo mengine ya ziada kama DS,Communication skills na ICT lazma afaulu vizr ili apate GPA hiyo.
Maajab ya karne
Ki ukweli vijana takriban 3000 walidahiliwa kusomea hiyo program
Matokeo yaliyotangazwa juz kati na OPEN UNIVERSITY yameonyesha vijana waliofaulu ni 554 tu sawa na asilimia 25% tu
Lakin baada ya matokeo hayo wale waliofaulu wameshindwa kuomba kabisa kwa sababu kwenye mifumo ya vyuo mbalimbali hakuna option ya foundation results
Na ukisoma muongozo wa TCU GUID BOOK wamesema hawa vijana waombe vyuo wanavyotaka wao
TCU TOEN TAMKO JUU YA MUSTAKABALI YA HAWA VIJANA