The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,233
@secrete na @sham_ok naona wameunganisha ID ZAKO...Safi sana mod japo Thread yangu mmeifuta hatutaki ujinga huu.Taasisi nyingi serikalin zinajirudia rudia kwa majukumu unganisha
@secrete na @sham_ok naona wameunganisha ID ZAKO...Safi sana mod japo Thread yangu mmeifuta hatutaki ujinga huu.Taasisi nyingi serikalin zinajirudia rudia kwa majukumu unganisha
Moderator safi sana Bora mlivyoziunganisha hizo ID. Huu upuuzi wa Kuanzisha Thread kwa Id nyingine halafu unakuja kujijibu kwa Id nyingine Ukome humu ndani. Heshima ya Jamiiforums irudi.