Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 4,728
- 3,173
Inakuwa vizuri pale unapokuwa na option ya kozi moja na chuo kimoja pekee kitakachokufaa huku ukiwa na vigezo.
Anaweza kutumia code hizo hizo alizotumia ku-confirm, aka-unconfirm au ku-cancel admission. Jaribu kufanya hivyo.Aseeeeh, Nahitaji ushauri Nina mdogo wangu kaconfirm kozi bilA kuifatilia na baada ya kumuuliza kanambia ameconfirm tayari na hiyo kozi kiukweli aifahamu je anauwezo wakuconfirm chuo kingine kwa wakati huu ambapo ameshaconfirm
www.tcu.go.tzMwenye conctact na TCU naomba