MZEE MKUBWA
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 4,094
- 11,497
Inakuwa ni chini ya 3.5Transcript inaniambie nina GPA 3.46 inakuaje hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakuwa ni chini ya 3.5Transcript inaniambie nina GPA 3.46 inakuaje hapo?
Una 3.4 GPA huwa haikadiriwiTranscript inaniambie nina GPA 3.46 inakuaje hapo?
Watu wanawaza kuajiriwa tu. Kweli umaskini hautaisha. Eti PhD holder anapigia mahesabu 3.2 million kwa mwezi. Hapo bado NSSF sijui PAYE na takataka nyingine. Wakati mtaani hiyo 3 m tunapata ndani ya wiki tu. Kweli umaskini hautaisha
Sasa kufundisha DMI ndo unaita chuo Kikuu...Prof wa DMI!!! Ha ha ha ha.Yap sina flex ila nina maneni ya shombo kwa anayeleta shombo pia.nina option kubwa tu
1.chuo nimeombwa nibaki nipigishe.
2.au nianze ajira direct .(hii sijaomba huwa tunaajiriwa direct na kampuni za meli za nje na ndani so maamuzi ni yangu).
Nimewaomba muda nifikiri kwanza so ni mimi ni mimi nahitajika nitoe tamko tu , 😂 vp kwani unateseka mimi kugombaniwa na ajira?
Vyuo vilikua vinakosa walimu kwa kweli, hapo sawa, vijana changamkieni fursa
Chuo Pekee kinakubali hiyo qualifications yako ni hicho hicho DMI au ZOOM kule SUA na UDSM wata-equate hiyo Unayoita Degree sawa Na Ordinary Diploma.chuo kimeniomba nibaki sjui ww unafikiria kwa nn ndo mana nakwambi korona ikipunguza mashambulizi na wasomi wakarudi vyuoni ni mimi sasa kuamua je nikawe lecture mdogo kutokea tz au nika apply udsm niwapigishe pure wazembe wale 😂😂😂
Zoom Polytechnic?Chuo Pekee kinakubali hiyo qualifications yako ni hicho hicho DMI au ZOOM kule SUA na UDSM wata-equate hiyo Unayoita Degree sawa Na Ordinary Diploma.
bwana, kilambimkwidu hiyo ni lower second subilia ajira almashauri au ujiajili uwe mjasiliamali tu.Transcript inaniambie nina GPA 3.46 inakuaje hapo?
Halmashauri ya Kaliua au Kilindi hukoobwana, kilambimkwidu hiyo ni lower second subilia ajira almashauri au ujiajili uwe mjasiliamali tu.
ss wa mount zaion college tunawachora tu..Uzi umepoteza mvuto baada ya kuingiliwa na vijana wa udsm ambao wanaamini chuo ni udsm tu, vingine vyote ni takataka.
Watu hawajui tu hivi wanavyoita vya kata wanalipa kama UDSM tena malecture wa kule wanakunywa na chai ☕️ bure umeona bwanaUzi umepoteza mvuto baada ya kuingiliwa na vijana wa udsm ambao wanaamini chuo ni udsm tu, vingine vyote ni takataka.
Acha wivu kwani anafundisha bure😐Sasa kufundisha DMI ndo unaita chuo Kikuu...Prof wa DMI!!! Ha ha ha ha.
Umenena bidadaKina Chib wapo wangapi ?Bora ma prof wapo wengi na mishahara japokuwa midogo ila wana uhakika wa kuishi maisha standard. Chib mziki ukiisha hata hajafika 40.Ni balaa tu.
Imedhibitishwa ingia www.tcu.go.tzKwan hii habari haijathibitishwa hadi iitwe tetesi?
Kwanza sionagi matangazo yaoThe hitman ,jooohs ,wakuu naitaji kujua diploma pia wanaangalia iyo 3.5 au VIP, wakati wa kuajiri secta binafsi na serikalini