Tetesi: TCU imebadili vigezo vya kufundisha Chuo Kikuu

TCU imetoa third edition ambayo imekuja na mabadiliko mengi.

Moja ya hayo ni kubadili kigezo cha kufundisha kuwa 3.5 kwa undergraduate badala ya 3.8 kwa vyuo vya serikali kama ilivyokua awali lakini 4.0 kwa Masters imeendelea kua ileile

Hii itatoa fursa kwa wanataaluma wenye sifa kupata nafasi na kupunguza uhaba wa wahadhiri vyuoni kutokana na kigezo cha awali

Sasa vijana mlioko vyuoni kazi kwenu pigeni ma GPA mkapige mpunga baada mteuliwe.

Nakumbuka kuna uzi hapa tulipambana kwelikweli kuhusu hivi vigezo vya juu vya kufundisha chuo.... Tuliwasema sana...kwamba vigezo vya juu viliwekwaa kwaajili ya ukilitimbaa... Naona wamerekebisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa hata kama nimepata GPA ya 2.0 halaf nakula mshahara zaidi ya milioni 4 nina hasara gani.
wakati huyo unayemsifia ana exposure analipwa 3.2 na amejitesa kusoma hadi uzeeni.
Hajapoteza chochote kwanza anasomeshwa bure na wengi wanatafutiwa Scholarships’s huko duniani anaongeza exposure yeye mwenyewe kimaisha

Wewe sema GPA ilipita kushoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini ndio chuo pekee ambacho wanafunzi wake wanakubalika na wote wanapata kazi.
Ni chuo pekee Afrika mashariki na kati kwa hizo kozi za meli.
wanafunzi wake wanapata kazi hadi majuu,ni tofauti kabisa na vyuo vyenu vya jalalani ambavyo mnashindwa kutengeneza hata dawa ya mafua.
DMI Ni Chuo Cha Kati SI chuo kikuu GPA za kuokota Kama cbe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap sina flex ila nina maneni ya shombo kwa anayeleta shombo pia.nina option kubwa tu
1.chuo nimeombwa nibaki nipigishe.
2.au nianze ajira direct .(hii sijaomba huwa tunaajiriwa direct na kampuni za meli za nje na ndani so maamuzi ni yangu).
Nimewaomba muda nifikiri kwanza so ni mimi ni mimi nahitajika nitoe tamko tu , 😂 vp kwani unateseka mimi kugombaniwa na ajira?
Mkuu 5.0 maana yake ulipata A zote katika masomo yote tangu first year hadi fourth year! Hapo kuna mshikeli maana haijawahi kutokea au kupata F zote hata Bambino wa Zambia angalau alipata A ya music
 
Mkuu 5.0 maana yake ulipata A zote katika masomo yote tangu first year hadi fourth year! Hapo kuna mshikeli maana haijawahi kutokea au kupata F zote hata Bambino wa Zambia angalau alipata A ya music
😂😂😂 hivi kupata 5.0 nayo imekuwa ni kitu ambacho hakiwezekani? Embu yakosoe
 
Unless ulikuwa unaiba mitihani! Huwezi kupata A zote maana ukipata B+ moja inakuwa 4.9 kimahesabu. Well tutafanya utafiti hapo DMI
😂😂😂 aisee ndiyo maana hamuendelei kwani A inaanzia ngapi? Tuanze hapo kwanza .kingine sijawahi ingia hata na kibuti tokea nasoma shule ya msingi sijuagi kibuti mimi , nasoma naelewa naingia kwa pepa nashusha vile ninavyoelewa na sio kukariri .
Kingine karibu mkuu mnakaribishwa sanaa.
I
 
Unless ulikuwa unaiba mitihani! Huwezi kupata A zote maana ukipata B+ moja inakuwa 4.9 kimahesabu. Well tutafanya utafiti hapo DMI
Kupata hizo mbona simple sana mkuu , unapiga 80 na kuendelea kwa kuwa A inaanzi 75 +sasa sijui mnakosaje 5.0 yaani mtu unashimdwa pata 75+ , mnani dissapoint sanaaa
Screenshot_2020-04-17-13-20-33-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Of course
Mbona.kila kitu ni connection wakuu..hapa napo inabidi..wa recruit watu wanye ..akili za practical cio kuangalia ukubwa wa GPA..kwenye karatasi..😁😁😁
Nawasilisha hoja...
sometimes Kuna Wana gpa kubwa lakini hawajui kufundisha
 
Back
Top Bottom