JMC prod
Member
- Aug 4, 2011
- 90
- 2
Naendeleza shukrani za dhati. Moyo kama unaelekea kifuani kutokea miguuni.
Duh bt Y hawasemi?
<br />
Duh bt Y hawasemi?
<br />Hiyo itakuwa ni accomodation, stationaries na meal. Percent zako za mkopo ni kwa ajili ya tuition fee tu na haimaanishi board wanakupa mkononi bali wanalipa wenyewe kwenye chuo chako na wewe utajilipia % zilizobaki.<br />
Hiyo hela uliyopewa nafikiri itakuwa ni kwa semester moja au mbili(inategemea na utaratibu wa chuo chenu). Pesa ya field na research mtapewa wakati ukifika.<br />
Kama nimekosea wadau watasahihisha kidogo.<br />
Masomo mema.
<br />