TCU & HESLB na "Amount of Loan" mbona siwaelewi?

Naendeleza shukrani za dhati. Moyo kama unaelekea kifuani kutokea miguuni.
Duh bt Y hawasemi?
Hiyo itakuwa ni accomodation, stationaries na meal. Percent zako za mkopo ni kwa ajili ya tuition fee tu na haimaanishi board wanakupa mkononi bali wanalipa wenyewe kwenye chuo chako na wewe utajilipia % zilizobaki.<br />
Hiyo hela uliyopewa nafikiri itakuwa ni kwa semester moja au mbili(inategemea na utaratibu wa chuo chenu). Pesa ya field na research mtapewa wakati ukifika.<br />
Kama nimekosea wadau watasahihisha kidogo.<br />
Masomo mema.
<br />
<br />
 
naona kadri siku zinavyokwenda tcu ndo wanzaid kuchemsha-binafsi utaratibiu wao sijauelewa kabsa

ugumu upo wapi hapo??? unatakiwa ujue umechaguliwa kozi gani na ujue gharama/tution fee ya hiyo kozi pamoja na other charges mfano, accomodation, meal allowance, books and stationary na haya yote utayajua utakapotembelea website ya chuo husika na upate prospectus yao. so wote mliopata chuo tazameni hayo mjue gharama na mlinganishe na mlichopewa, pia mkumbuke si lazima wakupe 100%% they need to clarify more on this.
tusilalamike sana, tutoe mawazo na tuwe na kahoja kidogo ingawa mimi ni anti-wavivu wa kazi
 
Na huu mkorogo ni kwa bigners au ni pamoja na wanaoendelea? Kwani wangefanya km cku zingne wangekufa? Why people lyk to complicate thngs bhana. Heslb wanakera....aagh!
 
Ni kwetu first year tu. :(
Na huu mkorogo ni kwa bigners au ni pamoja na wanaoendelea? Kwani wangefanya km cku zingne wangekufa? Why people lyk to complicate thngs bhana. Heslb wanakera....aagh!
<br />
<br />
 
Kwani vipi walipokuwa wanatoa kwa asilimia, hizo asilimia zilikuwa ni kwa ada tu na ela ya field au?
 
HESLB nao wanamakusudi!sasa hawatuelezei!au labda tukianza chuo tutajua!
Hapo ndipo ninapojiuliza, huo mkopo uliopewa ni kwa mwaka mmoja au? Maana inazidi.&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;
<br />
<br />
 
Wamenipa 2560500 alafu ada na makorokoro huku mucobs ni 2860000 per year so ela ya acumudation & meal inakuaje? Reseach & field nayo vipi? Imejumlishwa humu humu? Huu mwaka kama kwenda chuo ni story.. Na nitajuaje asilimia walizo nipa? Naombeni msaada wana jf nisha changanyika...

Bora wewe umepata angalau kiduchu mimi dogo katoka kapa
Nataka nimfuate waziri wa Elimu hii mikopo ni kwa ajili ya watoto wa matajiri?
Dogo kasoma Kantalamba, shule ya msingi hajagusa St. sasa iweje anyimwe na ni mtoto wa mkulima?
Cha kusikitisha zaidi dogo hana baba wala mama alafu wamemnyima mkopo hii bodi vp inatumia criteria gani kuwapa watu mikopo? Watakuwa wanatumia masaburi haingii akilini dogo kapiga msuri heavy huko Kantalamba alafu anyimwe mkopo na sifa anazo.
 
Wamenipa 2560500 alafu ada na makorokoro huku mucobs ni 2860000 per year so ela ya acumudation & meal inakuaje? Reseach & field nayo vipi? Imejumlishwa humu humu? Huu mwaka kama kwenda chuo ni story.. Na nitajuaje asilimia walizo nipa? Naombeni msaada wana jf nisha changanyika...

Check jamaa huyu
328S1153.0088.2008THOMAS, MASUMBUKOMBAMCTD001-Bachelor of Arts in Mass CommunicationTUDARCO4,002,500.00

Huyu akipokea huo mkwanja cha kwanza anazama k.koo kununua plasma kisha sub-buffer, dvd
Chenji anakaa pale Meeda anazitumbua
 
Umenifurahisha sana ndugu yangu.
Check jamaa huyu <br />
<table align="center" class="wysiwyg_dashes"><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr"><td class="wysiwyg_dashes_td">328</td><td class="wysiwyg_dashes_td">S1153.0088.2008</td><td class="wysiwyg_dashes_td">THOMAS, MASUMBUKO</td><td class="wysiwyg_dashes_td">M</td><td class="wysiwyg_dashes_td">BAMC</td><td class="wysiwyg_dashes_td">TD001-Bachelor of Arts in Mass Communication</td><td class="wysiwyg_dashes_td">TUDARCO</td><td class="wysiwyg_dashes_td">4,002,500.00</td></tr></table><br />
<br />
Huyu akipokea huo mkwanja cha kwanza anazama k.koo kununua plasma kisha sub-buffer, dvd<br />
Chenji anakaa pale Meeda anazitumbua
 
Ukiangalia kwa harakaharaka unaweza kufikiri huyo jamaa amepata mkopo mkubwa lakini kumbe ni kawaida wa tu. Tuition fee yake anayoenda kusona ni 2,300,00 per year.
Check jamaa huyu <br />
<table align="center" class="wysiwyg_dashes"><tr valign="top" class="wysiwyg_dashes_tr"><td class="wysiwyg_dashes_td">328</td><td class="wysiwyg_dashes_td">S1153.0088.2008</td><td class="wysiwyg_dashes_td">THOMAS, MASUMBUKO</td><td class="wysiwyg_dashes_td">M</td><td class="wysiwyg_dashes_td">BAMC</td><td class="wysiwyg_dashes_td">TD001-Bachelor of Arts in Mass Communication</td><td class="wysiwyg_dashes_td">TUDARCO</td><td class="wysiwyg_dashes_td">4,002,500.00</td></tr></table><br />
<br />
Huyu akipokea huo mkwanja cha kwanza anazama k.koo kununua plasma kisha sub-buffer, dvd<br />
Chenji anakaa pale Meeda anazitumbua
<br />
<br />
 
Hali bado ni tete.. Harufu ya chuo ipo ila nayo ya kusugua mtaa haijapotea...
Ngoja nimkumbuke na m0la wangu mengine ctayaimili
 
Back
Top Bottom