<br />We shukuru,wenzio hawajapata hata hcho kidogo.
Kushukuru kupo lakini mzaz hu0ni bado ni mtiti kama ndivyo ilivyo? Ntasomaje wakati home wakulima? <br />
<br />
<br />Wamenipa 2560500 alafu ada na makorokoro huku mucobs ni 2860000 per year so ela ya acumudation & meal inakuaje? Reseach & field nayo vipi? Imejumlishwa humu humu? Huu mwaka kama kwenda chuo ni story.. Na nitajuaje asilimia walizo nipa? Naombeni msaada wana jf nisha changanyika...
usitumie masaburi kufikiria...Mtoto wa mkulima hajaenda chuo anajua kukaa kwenye computer na kuchangia hoja jamiiforums!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wamenipa 2560500 alafu ada na makorokoro huku mucobs ni 2860000 per year so ela ya acumudation & meal inakuaje? Reseach & field nayo vipi? Imejumlishwa humu humu? Huu mwaka kama kwenda chuo ni story.. Na nitajuaje asilimia walizo nipa? Naombeni msaada wana jf nisha changanyika...
<br />Ninavyojua huwa wanatoa kwa percentage, hiz hazihusiki ktk meals &acc znakuwa ktk field na fucult alowance.
<br /><br />Kujua asilimia uliyopata chukua total fees kwa kozi kwa miaka 3 kutoka kwenye guide book gawanya na hicho kiasi ulichopewa kwa miaka mitatu zidisha kwa 100.Jibu utakalopata ndo asilimia yako ya mkopo.
<br />Samahan! Naomba mnieleze kuwa wametoa vip? Wakat wetu walikuwa wanatoa interms of percentage. Ilikuwa pesa ya accor na meals hazna viwango, tulipata sawa. Ila kwenye maswala ya field ilikuwa tunapewa kwa category, mf, 100% wanapewa 10000 inapungua had zero. Mwaka huu wametoaje? Samahani nipe bief introduction.