TCU hapa mnasaidia au mnaumiza wananchi?

sajo

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
3,021
5,253
Zamani ilikua mtu unaapply chuo direct katika chuo husika kwa gharama ya Tshs. 20 elfu, hivyo ili mtu u-apply vyuo 4 ilikulazimu ukate hiyo 80 kama form fee ya kila chuo, thanks TCU mkaanzisha mfumo wenu ambapo mwanafunzi ana-apply once in a centralized system ambapo anatumia hela chache kuapply vyuo vingi,ahsanteni sana kwa hilo, ishu inakuja hapa sasa, mtu ameapply vyuo hivyo kwa minAjili ya kuwa atapata mkopo,mnamchagua kwenye chuo fulani but in one way or another huyu mdahiliwa anakosa huo mkopo hivyo analazimika kujilipia (privAte Sponsorship)..sasa unakUtA mmemchaguliA chuo cha gharama kubwa kuliko uwezo alio nao,huyu mtu Anakuwa anapata tabu sana kulipa ada na gharama nyingine,hamuon kama mnamtesa?
Nijuavyo mimi private huwa mtu anachagua kulingana na uwezo wa mfuko wake,why sasa nyie mnalazimiShA watu kufanya mambo nje ya uwezo wao? Yaani elimu ya sekondari mtu anakua na uhuru wa kuchagua kuliko elimu ya chuo kikuu?hapa mmechemka,rekebisheni! Mwingine anakaa Mbeya ambako angeweza kusoma Mzumbe mbeya branch huku akikaa nyumbani kwao hivyo kupunguza gharama za malazi na chakula,nyie mnAkuja kumchagulia aende kusoma Arusha,hivi mnajua mfuko wake ulivyo?na pale mmelazimisha watu wajaze vyuo visivyopungua vinne hivyo mtu anajaza hata vyuo vyenye ada kubwa ili kumeet ur reuirements na mnamchagua katika vile alivyovijaza kutimiza tu idadi ya vyuo vinne..mi naona mnaumiza wananchi for this?CAS ingekua maalum kwa watu wa mikopo au baSi mngetoa nafaSi kwa watu wanaotaka kujilipia wachague vyuo wanavyovitaka manually kama zamani
 
Zamani ilikua mtu unaapply chuo direct katika chuo husika kwa gharama ya Tshs. 20 elfu, hivyo ili mtu u-apply vyuo 4 ilikulazimu ukate hiyo 80 kama form fee ya kila chuo, thanks TCU mkaanzisha mfumo wenu ambapo mwanafunzi ana-apply once in a centralized system ambapo anatumia hela chache kuapply vyuo vingi,ahsanteni sana kwa hilo, ishu inakuja hapa sasa, mtu ameapply vyuo hivyo kwa minAjili ya kuwa atapata mkopo,mnamchagua kwenye chuo fulani but in one way or another huyu mdahiliwa anakosa huo mkopo hivyo analazimika kujilipia (privAte Sponsorship)..sasa unakUtA mmemchaguliA chuo cha gharama kubwa kuliko uwezo alio nao,huyu mtu Anakuwa anapata tabu sana kulipa ada na gharama nyingine,hamuon kama mnamtesa?
Nijuavyo mimi private huwa mtu anachagua kulingana na uwezo wa mfuko wake,why sasa nyie mnalazimiShA watu kufanya mambo nje ya uwezo wao? Yaani elimu ya sekondari mtu anakua na uhuru wa kuchagua kuliko elimu ya chuo kikuu?hapa mmechemka,rekebisheni! Mwingine anakaa Mbeya ambako angeweza kusoma Mzumbe mbeya branch huku akikaa nyumbani kwao hivyo kupunguza gharama za malazi na chakula,nyie mnAkuja kumchagulia aende kusoma Arusha,hivi mnajua mfuko wake ulivyo?na pale mmelazimisha watu wajaze vyuo visivyopungua vinne hivyo mtu anajaza hata vyuo vyenye ada kubwa ili kumeet ur reuirements na mnamchagua katika vile alivyovijaza kutimiza tu idadi ya vyuo vinne..mi naona mnaumiza wananchi for this?CAS ingekua maalum kwa watu wa mikopo au baSi mngetoa nafaSi kwa watu wanaotaka kujilipia wachague vyuo wanavyovitaka manually kama zamani

Sajo hakika umenigusa....hili swala ni kweli kabisa mimi nina ndugu yangu fulani...alichagu vyuo kwa mtindo wa TCU akijua atapata mkopo....lakini ajabu ni kuwa TCu walimpangia kwenda chuo cha private ambacho ni ghali....Ilibidi mzazi wake akope ili mtoto aendelee na chuo maana hata akusema uaply tena muda ulikuwa umeshakiwsha
 
Sajo hakika umenigusa....hili swala ni kweli kabisa mimi nina ndugu yangu fulani...alichagu vyuo kwa mtindo wa TCU akijua atapata mkopo....lakini ajabu ni kuwa TCu walimpangia kwenda chuo cha private ambacho ni ghali....Ilibidi mzazi wake akope ili mtoto aendelee na chuo maana hata akusema uaply tena muda ulikuwa umeshakiwsha

Yaani inatucost sana aisee,mimi nina mdogo wangu anasoma kwa private sponsorship kwenye chuo cha bei ghali,yaani tunahaingaika kumtafutia ada kubwa ambayo TCU wametulazimisha kulipa wakati tungeweza kulipa kiasi kidogo katika vyuo vyenye ada ndogo ambavyo vinatambulika na hiyo TCU
 
najua ntapigwa mawe hapa - lakini kwa hapo badae ninayoyasema mtu anaweza yafanyia kazi. (1) kuna uwezekano mdahiliwa aliomba hivyo vyuo bila kujua haviko prioritized kwa mkopo. (2) baada ya selection na kukuta hakuwa amepata choice zake zote TCU walimpendekezea vyuo ambavyo alitaka athibitishe au la kama anavikubali - kukaa kimya ni kukubali. lakini nawajua waliokataa walibadilishiwa vyuo - aidha kwa kwenda TCU au online. nina mfano wa mmoja ambae choice zake ziligonga mwamba akapangiwa IFM bila mkopo na sio kozi ya masomo aliyosomea - huyu alikataa na kupangiwa TEKU Mbeya kwa kozi ya Education aliyoitaka na kupewa mkopo.

USHAURI - baada ya kuomba TCU ni lazima utembelee website yao mara kwa mara ujue developments. kuna watu walikuwa not eligible kozi zote kwa vile waliomba kozi ambazo hawana sifa na hawakubother kufuatilia walijikuta wamo katika hali hiyo.
 
najua ntapigwa mawe hapa - lakini kwa hapo badae ninayoyasema mtu anaweza yafanyia kazi. (1) kuna uwezekano mdahiliwa aliomba hivyo vyuo bila kujua haviko prioritized kwa mkopo. (2) baada ya selection na kukuta hakuwa amepata choice zake zote TCU walimpendekezea vyuo ambavyo alitaka athibitishe au la kama anavikubali - kukaa kimya ni kukubali. lakini nawajua waliokataa walibadilishiwa vyuo - aidha kwa kwenda TCU au online. nina mfano wa mmoja ambae choice zake ziligonga mwamba akapangiwa IFM bila mkopo na sio kozi ya masomo aliyosomea - huyu alikataa na kupangiwa TEKU Mbeya kwa kozi ya Education aliyoitaka na kupewa mkopo.

USHAURI - baada ya kuomba TCU ni lazima utembelee website yao mara kwa mara ujue developments. kuna watu walikuwa not eligible kozi zote kwa vile waliomba kozi ambazo hawana sifa na hawakubother kufuatilia walijikuta wamo katika hali hiyo.

Makah hivi mtu mtoto wako anapokua na sifa ya kusoma sekondari ila hawezi kwenda serikalini kwa ajili ya nafasi chache huwa mtu anakuja kukuchagulia shule ya kumpeleka mwanao? Si ni wewe mwenyewe unaamua kumpeleka unakoona kutamfaa na wewe utakumudu kigharama,sasa hawa wa vyuo vikuu,kuna wengine toka mwanzo wanajua kuwa wao hawawez kustahili/kupata mkopo but wana sifa za kuingia vyuoni,hawa wanaamua kujilipia je ni sahihi kuwachagulia vyuo?huoni kama watoto wa sekondari wanainjoi kuliko vyuo vikuu wakati in reality vyuo vikuu watu ndipo huwa na wide chance ya kuchagua..
 
Makah hivi mtu mtoto wako anapokua na sifa ya kusoma sekondari ila hawezi kwenda serikalini kwa ajili ya nafasi chache huwa mtu anakuja kukuchagulia shule ya kumpeleka mwanao? Si ni wewe mwenyewe unaamua kumpeleka unakoona kutamfaa na wewe utakumudu kigharama,sasa hawa wa vyuo vikuu,kuna wengine toka mwanzo wanajua kuwa wao hawawez kustahili/kupata mkopo but wana sifa za kuingia vyuoni,hawa wanaamua kujilipia je ni sahihi kuwachagulia vyuo?huoni kama watoto wa sekondari wanainjoi kuliko vyuo vikuu wakati in reality vyuo vikuu watu ndipo huwa na wide chance ya kuchagua..

Nakubalianan na wewe MakahNInachokiona hapa kwenye mjadala huu ni mtoa mada na baadhi ya wachangiaji kutojua kuwa elimu ya Vyuo vikuu au elimu ya juu hapa TZ hauna Private wala Government, Vyuo vikuu vyote na vile vya elimu ya juu viko sawa kwa mujibu wa sera ya elimu ya juu hapa TZ. ndio maana mikopo inatolewa kwa kila chuo vya binafsi na vya serikali. lakini ieleweke pia kuwa kazi ya TCU ni kudahili, kusimamia Ithibati na kuishauri serikali kuhusu elimu ya juu Nchini, Swala la MIKOPO ni la Bodi ya Mikopo sio TCU TCU wakisha dahili wanapeleka list HESLB ambao wataangalia vigezo vyao kwa kila Mwombaji. Tatizo kuna wadahiliwa ambao kwenye uombaji wa Mikopo huwa either hawakujaza vizuri au wanajikuta wamenaswwa na Mitego ya HESLB na kujikuta hawana mikopo. UShauri wangu ni kama ulivyo sema Makah wahakiki data zao kila mara kwenye maombi ya hivi vitu viwili yaani Udahili wa TCU na Mikopo. kwani mitandao yote miwili ya taasisi hizi inatoa fursa ya kuhakiki na hata kuhariri taarifa zao kila wanapogundua walikosea ilimradi tuu zoez hilo liwe nikabla ya dedline
 
Jaman me nimemalza diploma na nahitaji kuendelea na elimu y juu nmejalibu kutembelea vyuo baadh wameniambia niombe kupitia TCU n me cjui pakuanzia wala pakumalizia.wanajamii forums naomb mwenyekuelewa swala hili anisaidie.
 
Nakubalianan na wewe MakahNInachokiona hapa kwenye mjadala huu ni mtoa mada na baadhi ya wachangiaji kutojua kuwa elimu ya Vyuo vikuu au elimu ya juu hapa TZ hauna Private wala Government, Vyuo vikuu vyote na vile vya elimu ya juu viko sawa kwa mujibu wa sera ya elimu ya juu hapa TZ. ndio maana mikopo inatolewa kwa kila chuo vya binafsi na vya serikali. lakini ieleweke pia kuwa kazi ya TCU ni kudahili, kusimamia Ithibati na kuishauri serikali kuhusu elimu ya juu Nchini, Swala la MIKOPO ni la Bodi ya Mikopo sio TCU TCU wakisha dahili wanapeleka list HESLB ambao wataangalia vigezo vyao kwa kila Mwombaji. Tatizo kuna wadahiliwa ambao kwenye uombaji wa Mikopo huwa either hawakujaza vizuri au wanajikuta wamenaswwa na Mitego ya HESLB na kujikuta hawana mikopo. UShauri wangu ni kama ulivyo sema Makah wahakiki data zao kila mara kwenye maombi ya hivi vitu viwili yaani Udahili wa TCU na Mikopo. kwani mitandao yote miwili ya taasisi hizi inatoa fursa ya kuhakiki na hata kuhariri taarifa zao kila wanapogundua walikosea ilimradi tuu zoez hilo liwe nikabla ya dedline

Seems its hard to understand, but once u experience it, u will undestand what I mean and what it is!! Anyway, the point was, TCU as a regulator kwa taasisi za elimu ya juu wangeacha au wangetoa option kwa mtu anaetaka kujisomesha achague mwenyewe chuo akitakacho..siongelei mkopo hapa,mimi naongelea gharama za vyuo kwamba why wakulazimishe usome chuo cha gharama kubwa..labda niweke mfano, mtu ana div 3 ya 14 anataka kusoma sheria au public administration may be mzumbe(achana na mawazo.ya cut point just take it as mfano) ambapo ada ni tshs m 1 may be na anajua kwa kozi anayotaka hawezi kupata mkopo ila anaweza kujilipia hicho kiwango sababu anakimudi,sasa huyu mtu hawez kujaza mzumbe peke yake on hiyo TCU application system kwa sababu ina minimum na maximum number ya vyuo na kozi anazotakiwa kujaza mwombaji..wao unakuta wanamchagulia Tumaini may be ambapo ada ni Tshs 1,900,000/-..hapo hamuoni kama hiyo ni burden kwa huyo mwombaji?wao wanajua ana tshs ngapi mfukoni mpaka wamlazimishe kwenda chuo cha gharama?
 
Seems its hard to understand, but once u experience it, u will undestand what I mean and what it is!! Anyway, the point was, TCU as a regulator kwa taasisi za elimu ya juu wangeacha au wangetoa option kwa mtu anaetaka kujisomesha achague mwenyewe chuo akitakacho..siongelei mkopo hapa,mimi naongelea gharama za vyuo kwamba why wakulazimishe usome chuo cha gharama kubwa..labda niweke mfano, mtu ana div 3 ya 14 anataka kusoma sheria au public administration may be mzumbe(achana na mawazo.ya cut point just take it as mfano) ambapo ada ni tshs m 1 may be na anajua kwa kozi anayotaka hawezi kupata mkopo ila anaweza kujilipia hicho kiwango sababu anakimudi,sasa huyu mtu hawez kujaza mzumbe peke yake on hiyo TCU application system kwa sababu ina minimum na maximum number ya vyuo na kozi anazotakiwa kujaza mwombaji..wao unakuta wanamchagulia Tumaini may be ambapo ada ni Tshs 1,900,000/-..hapo hamuoni kama hiyo ni burden kwa huyo mwombaji?wao wanajua ana tshs ngapi mfukoni mpaka wamlazimishe kwenda chuo cha gharama?

Sajo kila chuo kina vigezo vya kudahili waombaji. Hata TCU isingekuwepo kama mratibu kama huna sifa zinazotakiwa na vyuo hivyo huwezi ona ndani. Tuvilalamikie vyuo vipunguze vigezo. Angalia vyuo vya serikali vilivyo vingi vina vigezo vya juu kidogo kuliko vya binafsi. Na kama walivyosema wachangiaji hata ukipata chuo kwa juhudi zako na kozi hiyo inapata mkopo na kama uliomba utapata tu maana serikali haijaweka ubaguzi wa vyuo katika kutoa mikopo mradi uvipatie vigezo vyao.
 
Maungana na Mankah ila kitu nilichokiona ni udhaifu mkubwa ni kwa TCU kuweka kiwango kikubwa cha apapplicationfees cha 50,000 ambapo huwafanya baadhi ya applicants (fresh from schools) washindwe kufanya applications kwa sababu wanakosa pesa. TCU ni Institution ya serikali yapaswa kuwasaidia watanzania amaskini na si kuwapandishia hizi application fees. Kama vyuo walikuwa wanatoza watu 1500 - 20000 basi wao walitakiwa kushuka zaidi ya hapo.
Kuna wadogo kibao streets na qualifications zao safi wapo kitaa wamekosa pesa ya kuombea vyuo ambapo ukijumlisha na other costs ni kama 120,000 inatakiwa ili kukamilisha application pamoja Loan.
 
najua ntapigwa mawe hapa - lakini kwa hapo badae ninayoyasema mtu anaweza yafanyia kazi. (1) kuna uwezekano mdahiliwa aliomba hivyo vyuo bila kujua haviko prioritized kwa mkopo. (2) baada ya selection na kukuta hakuwa amepata choice zake zote TCU walimpendekezea vyuo ambavyo alitaka athibitishe au la kama anavikubali - kukaa kimya ni kukubali. lakini nawajua waliokataa walibadilishiwa vyuo - aidha kwa kwenda TCU au online. nina mfano wa mmoja ambae choice zake ziligonga mwamba akapangiwa IFM bila mkopo na sio kozi ya masomo aliyosomea - huyu alikataa na kupangiwa TEKU Mbeya kwa kozi ya Education aliyoitaka na kupewa mkopo.

USHAURI - baada ya kuomba TCU ni lazima utembelee website yao mara kwa mara ujue developments. kuna watu walikuwa not eligible kozi zote kwa vile waliomba kozi ambazo hawana sifa na hawakubother kufuatilia walijikuta wamo katika hali hiyo.

very true tcu wanafanya kazi yao hawawez kukuchagua chuo usichoomba na kama hujachaliwa first choice hujue hujakulifai
 
Back
Top Bottom