yaan m2 anachanganua tu sentence kwa njia ya matawi,halafu 2mpe mkopo?acheni uvivu bana,watu hawatasoma bachelor sasa,nendeni diploma,maana ni cheap,waoneeni huruma wazazi,kweli mzazi ajibane kukusomesha tangu std 1 hadi form six,bado akulipie tena mamilioni chuoni,halafu ukimaliza huna kazi,unaanza kumbwerambwera 2 mjini,huku unajisifia na ka degree kako ka BA kiswahili sijui historia au kakiingereza
Short minded