Naisoma360
JF-Expert Member
- Jan 23, 2015
- 820
- 491
nimeamini shetani yupo kila sehemu na nilijua tu hile ni habari ya uongo...good TCU kwa kukanusha, na CYBER law ifanye kazi yake kwa hawa wazushi walioeneza hiyo habari.
Nahisi una degree ya ubishi au ya kiwango cha juu cha kutoelewa.Mmmh usikute ni kwel ila taarifa ilitolewa undue time!!
Una hisi!!Naisi una degree ya ubishi au ya kiwango cha juu cha kutoelewa.
UnayoUna hisi!!