TCRA yavipiga faini Vituo vya runinga ya Tsh. Mil 60 kwa kukiuka maadili ya uandishi na kutangaza habari za kichochezi

wakikubali kulipa inamaana wanaungana nao katika katika maamuzi ya hovyo ya hichi kidudu kinaitwa TCRA, wakalipie mahakamani
 
Vinatakiwa vifungwe vyote maana wote hao hua na vimbelembele sana kwa serikali. Ikiwezekana piga hata faini ya million 100
 
Hahahaaa. Nacheka sababu ya adhabu inayohusu kutangaza habari kutoka chanzo chenyewe ambayo ni taasisi ambayo ipo kikatiba na kisheria. te-he, te-he, te-hee. LOL:p:p
 
Nashauri vyombo vya habari muweke mgomo msitangaze habari yoyote ile muda wote muweke nyimbo za kumsifu mtukufu labda moyo wake ndiyo utafurahi. Iwe kila ukifungua unakutana na nyimbo za kumsifu tu.
 
Hivi TBC walivyotangaza habari za rais Trump pamoja na zile za tuzo ya amani ya Mandela walitozwa kiasi gani!?

Inasikitisha unapoona binadamu asiye mkamilifu akisisitiza kuwa kila linalofanyika lazima liwe perfect! Sijui ni matokeo ya elimu bandia (fake) tuliyopewa, au ndio giza nene ikiwa ni ishara ya mapambazuko?!
 
What a start to a New Year!!. Bila shaka Neno [HASHTAG]#uchochezi[/HASHTAG] litatawala mwaka 2018 na itaambatana na matukio. Naota jamani.:confused:
 
Mlaniwe na mungu nyie mnaowapiga wezenu faini kweli uchaguzi haukuwa wa HAKI ndio maana walioingia kwa mabavu mungu anawalani
 
Kunguru Mjanja Kujizuia kulngea kisa ni kuingilia mkondo wa sheria ni upumbafu!
Kwani mkondo wa shefia ndio nini? Hicho ndio kichaka cha dhuluma......
 
Ni kwali sio kazi yao. Ni government machinery gani ilikichukulia hatua Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu ili ionekane kuwa kilitenda kosa la uchochezi?
Uzi huu ni wa TCRA anzisha uzi wako utakaohoji hilo kila mtu anefanya upande wake.
 
ITV imeonesha ukomavu. imesimama kutetea kile inachokiamini. wengine nimesikia wamekubali na kuomba radhi. Uzee dawa. Ndiyo kila siku nikitaka taarifa ya habari ni ITV. (Independent Daima)
 
Back
Top Bottom