TCRA yavichukulia hatua vituo vya Tv na Radio vilivyokiuka maadili

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,985
20,263
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia baadhi ya vipindi vya radio na televisheni.

Akizungumza leo mkurugenzi wa matangazo ya tv na radio wa mamlaka hiyo, amesema vituo vinne (4) vya radio na kituo cha Tv kimoja wamevitoza faini ya 5milion na kufungia baadhi ya vipindi vyao vinavyokiuka maadili.

Kutokana na sababu za kibiasha hajavitaja kwa majina vituo hivyo!
 
TCRA wanachekesha au hawajui wakifanyacho
kuna usiri gani wa kufunga vipindi bila kuvitaja?
TCRA kama national regulator lazima wafanye kazi
in a transparency manner ili wananchi wajue whats going on
kwanini Tanzania vitu vingi tunafanya kinyume na nchi zingine?
eti hatutavitaja so what? shame on them
 
Kipindi cha "kidokezo" radio imaan kisipokuwepo hao tcra watakuwa hawajui wafanyalo
 
na magazeti mangapi ya udaku yamefungiwa? au hawahusiki huko? anayehusika yuko wapi nchi inaangamizwa kwa uroho wa pesa bila kujali jamii inalishwa nini?
magazeti ya udaku ni janga katika jamii
 
Vipindi vya Radio na TV navyo kweli ni siri? Inaingia akilini kweli kufungia public programs halafu useme ni siri how come? TCRA need to be serious.
 
TCRA ni janga kwa walipa kodi.Tena mkurugenzi wake ni Profesa,ndiyo maana tunasema hawa maprofesa wabaki kushika chaki tu,kazi za utendaji waachiwe wenye uwezo wa kiutendaji.
 
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia baadhi ya vipindi vya radio na televisheni.

Akizungumza leo mkurugenzi wa matangazo ya tv na radio wa mamlaka hiyo, amesema vituo vinne (4) vya radio na kituo cha Tv kimoja wamevitoza faini ya 5milion na kufungia baadhi ya vipindi vyao vinavyokiuka maadili.

Kutokana na sababu za kibiasha hajavitaja kwa majina vituo hivyo!

Popote kwenye maprofesa ni ubabaishaji mtupu. Sasa kwa nini hawavitaji, hopeless professors
 
Kipindi cha "kidokezo" radio imaan kisipokuwepo hao tcra watakuwa hawajui wafanyalo

Hivi wewe una matatizo gani na waislamu??!!! kinachokuuma hasa ni nini? Kipindi cha kodokezo kina tatizo gani???kinaelemisha waislamu na wasio waislamu. Hujaona radio yoyote ila radio imani??. sio siri unanikera sana.
 
Back
Top Bottom