Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia baadhi ya vipindi vya radio na televisheni.
Akizungumza leo mkurugenzi wa matangazo ya tv na radio wa mamlaka hiyo, amesema vituo vinne (4) vya radio na kituo cha Tv kimoja wamevitoza faini ya 5milion na kufungia baadhi ya vipindi vyao vinavyokiuka maadili.
Kutokana na sababu za kibiasha hajavitaja kwa majina vituo hivyo!
Akizungumza leo mkurugenzi wa matangazo ya tv na radio wa mamlaka hiyo, amesema vituo vinne (4) vya radio na kituo cha Tv kimoja wamevitoza faini ya 5milion na kufungia baadhi ya vipindi vyao vinavyokiuka maadili.
Kutokana na sababu za kibiasha hajavitaja kwa majina vituo hivyo!