real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) yashusha gharama za huduma za simu kutoka 26.96 kwa dakika moja hadi 15.60 kuanzia 2018.
Mkurugenzi mkuu wa TCRA, Mhandis James Kilaba amesea gharama hizo zitaendea kupungua kila mwaka hadi kufikia Sh. 2 mwaka 2022.
Kilaba ameeleza kushuka kwa gaharama kutachochea idadi ya watu wanaotumia mawasiliano ya simu na kuongeza pato la watoa huduma na taifa kwa ujumla
Chanzo: Azam News
Mkurugenzi mkuu wa TCRA, Mhandis James Kilaba amesea gharama hizo zitaendea kupungua kila mwaka hadi kufikia Sh. 2 mwaka 2022.
Kilaba ameeleza kushuka kwa gaharama kutachochea idadi ya watu wanaotumia mawasiliano ya simu na kuongeza pato la watoa huduma na taifa kwa ujumla
Chanzo: Azam News