TCRA watoa utaratibu wa kuzima laini za simu

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Mar 11, 2018
585
906
Taifa Litajengwa na wenye moyo
IMG_20200116_201952_735.jpg
 
Je ni utaratibu upi waliowekewa wanadiplomasia?!

Iweje kikundi cha watu wachache wawe na utaratibu wao ilhali wengi wanao wao Pia?

Nitakuwa sahihi kufanya nijiskiavyo sababu ya umoja wangu?

Tanganyika, Sanzibar (Tanzania) Ni nchi ambazo hazijitambui.
 
Je ni utaratibu upi waliowekewa wanadiplomasia?!

Iweje kikundi cha watu wachache wawe na utaratibu wao ilhali wengi wanao wao Pia?

Nitakuwa sahihi kufanya nijiskiavyo sababu ya umoja wangu?

Tanganyika, Sanzibar (Tanzania) Ni nchi ambazo hazijitambui.

Kweli ni vizuri tukawa na uelewa wa utaratibu uliowekwa kwa wanaDiplomasia na wageni wote ambao sio raia wa Tanzania
 
Sasa ndg yangu, wana diplomasia wana haki ya kupata id ya nida?
Je ni utaratibu upi waliowekewa wanadiplomasia?!

Iweje kikundi cha watu wachache wawe na utaratibu wao ilhali wengi wanao wao Pia?

Nitakuwa sahihi kufanya nijiskiavyo sababu ya umoja wangu?

Tanganyika, Sanzibar (Tanzania) Ni nchi ambazo hazijitambui.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna haja gani tena kuzirudisha namba zilizokwishafungiwa wakati lengo lilikuwa ni hilo? Wafunge tu moja kwa moja watu wasajili zingine mpya wakiwa na uhitaji huo.
 
Tatizo sio sisi tatizo ni. Wao na nida yao..leo hii ukitaka kuipata namba ya nida huwezi kuipata...website yao haifunguki....mi naona watu wa mitandao ya simu waliangalie hili maana wanakwenda kutiwa hasara na serikali kupitia nida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli ni vizuri tukawa na uelewa wa utaratibu uliowekwa kwa wanaDiplomasia na wageni wote ambao sio raia wa Tanzania
Mimi ninachojua wageni wanapewa vitambulisho Lakini vinakuwa tofauti na raia wa Tz.
kwenye uraia inawekwa uraia wake halisia anapotoka na pia Expire date inatokana na work permit yake kama May 2020 basi expire date itakuwa may 2020.
 
Hivi serikali siitapoteza sana mapato maana najua hizo laini watu wake hununua vocha na serikali hujipatia kipato. Lakini nauliza umuhimu wa kusajili laini tena kwa alama za vidole ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sioni sababu ya watu kulalamikia zoezi hili,maana kwangu naona kama ni zoezi zuri na linalengo la kuwabana waharifu wa mitandaoni,kama wewe ni good citizen yanini ulalamikie zoezi hili,nionavyo Mimi wengi ya watu wanao lalamika ni wale wazee wa ile pesa itume kwa namba xxxxxxxx,sasa wanaleta ukinzani ili waendelee na uhuni wao

Naomba watambue kuwa katika awamu hii ya tano hakutakuwa na free lunch,kila mtu apambane na hali yake ,over,

Pongezi kwa tcra kwa zoezi zuri lenye nia njema kwa raia wema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapuuzi tu hao. Wazime tu hizo laini zao. Huu ujinga sijui kawafundisha nani!?
 
Back
Top Bottom