kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Sijui kama tumebaini TCRA wanachukua jukumu la mahakama na kujitwisha wao.
Wamejitungia kanuni za wao kutuhumu, kusikiliza na kuhukumu kitu ambacho siyo haki. Uwezi nituhumu then ukajakusema nimekushinda kwa hoja lazima utaonesha nimeshindwa
Hiki wanachofanya cha kutafsiri hadi Sheria zisizo zao, yaani Sheria ya uchaguzi, si cha kufumbia macho.
Nasikia wamesema waombwe radhi siku nzima na matangazo ya baadhi ya Vyombo vya Habari yasitishwe wiki. Huu sasa ni UmangiMeza
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/08/2499036_clouds_Msamaha.mp3
Wamejitungia kanuni za wao kutuhumu, kusikiliza na kuhukumu kitu ambacho siyo haki. Uwezi nituhumu then ukajakusema nimekushinda kwa hoja lazima utaonesha nimeshindwa
Hiki wanachofanya cha kutafsiri hadi Sheria zisizo zao, yaani Sheria ya uchaguzi, si cha kufumbia macho.
Nasikia wamesema waombwe radhi siku nzima na matangazo ya baadhi ya Vyombo vya Habari yasitishwe wiki. Huu sasa ni UmangiMeza
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/08/2499036_clouds_Msamaha.mp3