Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,655
- 93,378
Sawa Bashite
Ni kweli Mwalimu Odinga aliuawa na mwili wake uliokotwa sokoni, yeye alikuwa kamishna msaidizi wa time ya uchaguzi na mipaka, sijui uongo uko wapi! Usipende kukurupuka.Hawa watu wamekuwa wakiandika posts nyingi kwenye ukurasa wao wa Facebook zenye nia ya kufarakanisha na saa nyingine kuleta mshtuko ili wapate watembeleaji kwenye mtandao wao na comments nyingi kwenye posts zao
Kuna posts waliandika kuhusu Mrisho Gambo wakimnukuu 'Mkinipa ubunge nitawapa mashamba' kisha wanakuandikia soma na kukuwekea link ukifungua ndani ni tofauti na kilichoandikwa
Leo kuna post nyingine nimeiona wameandiaka ''Odinga ameuawa Kenya, mwili wake waupwa sokoni'' na kuweka link soma...
Hii ni mifano michache tu ila wanaandika posts nyingi kama hizi ukiingia kwenye ukurasa wao wa Facebook utashuhudia
Ni namna ya uandishi ambao hauna weledi kabisa na unaolenga kuvuta traffick kwenye website yao kwa njia ya kuleta taharuki
Ningewaomba TCRA najua mpo huku Jamiiforums muwaonye hata kuwachukulia hatua watu hao maana wanalenga kuleta taharuki
View attachment 572158
We ukipewa banda la kuku tu utaanza kulia unalifunga ndani ya wikiHivyo vituo vilishapoteza mvuto si kwa wasikilizaji na watazamaji tuu bali hata kwa makampuni ya kupeleka matangazo....Hivi vituo vinajifia.. kabisa mikononi mwa mtoto wa Mengi....Ubunifu zero ,hawana jipya...hawachangamki, wamelala, hawaoni... yaani hata kutazama wenzao wakina Clouds na Efm wanavyo fanya wameshindwa kabisa..
Mengi ana paswa kuchukua maamuzi magumu kunusuru hivi vituo....hakika vimepoteza kabisa ushawishi kwa jamii na sababu kuu ni management kulala tuu hawana jipya.
We Lumumba unacoment kichwa kichwa bila kujua hata content ya uziWapuuzi sanaa, taaluma ya habari ina mbumbumbu wengi sanaa.
Wewe ndiyo mchonganishi humalizi kusoma habari yote unaanza kukurupuka na maneno, sasa Sisi kama TCRA tutakufungia wewe.Hawa watu wamekuwa wakiandika posts nyingi kwenye ukurasa wao wa Facebook zenye nia ya kufarakanisha na saa nyingine kuleta mshtuko ili wapate watembeleaji kwenye mtandao wao na comments nyingi kwenye posts zao
Kuna posts waliandika kuhusu Mrisho Gambo wakimnukuu 'Mkinipa ubunge nitawapa mashamba' kisha wanakuandikia soma na kukuwekea link ukifungua ndani ni tofauti na kilichoandikwa
Leo kuna post nyingine nimeiona wameandiaka ''Odinga ameuawa Kenya, mwili wake waupwa sokoni'' na kuweka link soma...
Hii ni mifano michache tu ila wanaandika posts nyingi kama hizi ukiingia kwenye ukurasa wao wa Facebook utashuhudia
Ni namna ya uandishi ambao hauna weledi kabisa na unaolenga kuvuta traffick kwenye website yao kwa njia ya kuleta taharuki
Ningewaomba TCRA najua mpo huku Jamiiforums muwaonye hata kuwachukulia hatua watu hao maana wanalenga kuleta taharuki
View attachment 572158
Shida vilaza hawajijui kama ni vilaza,Wewe ndiye mjinga! Je hiyo habari ni ya Uongo? Wangeandika Raila Odinga hapo sawa, ila Odinga wapo wengi, ni namna ya kuwaelimisha watu Wajinga kama wewe unaposikia jina Moja tu usiwe na kiherehere Cha ku conclude kuwa ni Fulani! Soma hiyo link utamjua Odinga (Afisa Uchaguzi) aliyeuwawa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni uvivu wa 'kutofikiri' au ni uvivu wa 'kufikiri'?Afadhali umemuelimisha, kidogo nimtolee povu kwa uvivu wake wa kutokufikiri.
Cajojo mi kwako nimefikaUmemkomeshaaaa shaaaaa shaaaaa
Msamehe bure.Wewe ndiye mjinga! Je hiyo habari ni ya Uongo? Wangeandika Raila Odinga hapo sawa, ila Odinga wapo wengi, ni namna ya kuwaelimisha watu Wajinga kama wewe unaposikia jina Moja tu usiwe na kiherehere Cha ku conclude kuwa ni Fulani! Soma hiyo link utamjua Odinga (Afisa Uchaguzi) aliyeuwawa!
Sent using Jamii Forums mobile app