happiness win
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,461
- 1,384
umeongea suala la maana sana kidadari. Katika dunia hii ya utandawazi tunapaswa kuwa makini na chochote tunachojiunga nacho. Account za simu zinatusaidia lakini ni vema tuchunguze itakuwaje mwenye account akifa inakuwaje. sasa kwa kuwa wengi hatukuchunguza lakini tumeshajiingiza huko ni vema tukawashirikisha watu wetu wa karibu endapo tatizo litatokea baada ya kufungua mirathi wafuatilie huko kwenye makampuni.
Last edited by a moderator: