TCRA sijui mnakwama wapi. Kama lengo lenu ni kuzuia uharifu mtu akiwa anamiliki laini nyingi ni rahisi kumkamata pale anapofanya uhalifu

live on

JF-Expert Member
Dec 30, 2018
790
1,264
Mi kwa mtazamo wangu sheria nyingi za TCRA huwa zinawekwa kwa ajili ya kusumbua raia wema.

Kama ilivyokuwa katika usajili wa alama za vidole walioteseka ni raia wema tu wahalifu walikaa kimya na baada ya zoezi kuisha wanaendelea na uharifu wao kama kawaida.

Sasa mnaanza kutuletea shida nyingine sisi raia wema wakati mlitoaga maelekezo ya mtu kufuta laini zote zilizosajiliwa kwa kitambulisho chake ambazo hazitambui na tumefanya hivyo kwa hiyo hivi sasa laini zangu zote nazitambua sasa shida ipo wapi.

Mkubali mkatae nyinyi mliopewa hicho kitengo uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo.

Na ndio maana. Mlizima local channel baadaye mkazirudisha.

Mmelazimisha watu wasajili kwa alama za vidole ili kuzuia uharifu lakini cha ajabu hao waharifu bado wapo na watu wanaibiwa kila siku na nyinyi mnalijua hilo.
 
Hawa sasa wanabahatisha tu kufanya kazi, wanajaribu ili mheshimiwa awaone kuwa wako active.

Rais akitengua huo upuuzi si ajabu utawaona hao TCRA wakija kwenye television na kuanza kumsifia Magufuli kuwa anawajali wanyonge hataki wasumbuliwe
 
Wamechemka sana katika hili,
Kusajili line kwa kitambulisho/namba za nida na fingerprints ndo mwisho wa matatizo, MTU hata akiwa na line 15 ila zote ni za kwake na ana fahamika, hawezi kufanya uhalifu.
Mi kwa mtazamo wangu sheria nyingi za TCRA huwa zinawekwa kwa ajili ya kusumbua raia wema

Kama ilivyokuwa katika usajili wa alama za vidole walio teseka ni raia wema tu waharifu walikaa kimya na baada ya zoezi kuisha wanaendelea na uharifu wao kama kawaida

Sasa mnaanza kutuletea shida nyingine sisi raia wema wakati mlitoaga maelekezo ya mtu kufuta laini zote zilizosajiliwa kwa kitambulisho chake ambazo hazitambui na tumefanya hivyo kwa hiyo hivi sasa laini zangu zote nazitambua sasa shida ipo wapi

Mkubali mkatae nyinyi mliopewa hicho kitengo uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo

Na ndio maana
Mlizima local channel baadae mkazirudisha

Mmelazimisha watu wasajili kwa alama za vidole ili kuzuia uharifu lakini cha ajabu hao waharifu bado wapo na watu wanaibiwa kila siku na nyinyi mnalijua hilo
 
Bora ilivowekwa Limit... Story zilizagaa kwamba mawakala wanauza line zilizosajiliwa kwa Fingerprints kwa watu ambao hawana vitambulisho vya NIDA!! We unafkiri walikua wanatumia vitambulisho vya nani km sio vyetu sisi tuliojisajili? Je ungefurahia kitambulisho chako kitumike bila idhni yako kusajili namba ya mtu usiemjua? Kumiliki laini zaidi ya moja kwa mtandao mmoja inawezekana lkn mpk uwaeleze sababu.
 
Mi kwa mtazamo wangu sheria nyingi za TCRA huwa zinawekwa kwa ajili ya kusumbua raia wema

Kama ilivyokuwa katika usajili wa alama za vidole walio teseka ni raia wema tu waharifu walikaa kimya na baada ya zoezi kuisha wanaendelea na uharifu wao kama kawaida

Sasa mnaanza kutuletea shida nyingine sisi raia wema wakati mlitoaga maelekezo ya mtu kufuta laini zote zilizosajiliwa kwa kitambulisho chake ambazo hazitambui na tumefanya hivyo kwa hiyo hivi sasa laini zangu zote nazitambua sasa shida ipo wapi

Mkubali mkatae nyinyi mliopewa hicho kitengo uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo

Na ndio maana
Mlizima local channel baadae mkazirudisha

Mmelazimisha watu wasajili kwa alama za vidole ili kuzuia uharifu lakini cha ajabu hao waharifu bado wapo na watu wanaibiwa kila siku na nyinyi mnalijua hilo
Ila zile meseji za ile pesa tuma kwenye namba hii zimepungua
 
Bora ilivowekwa Limit... Story zilizagaa kwamba mawakala wanauza line zilizosajiliwa kwa Fingerprints kwa watu ambao hawana vitambulisho vya NIDA!! We unafkiri walikua wanatumia vitambulisho vya nani km sio vyetu sisi tuliojisajili? Je ungefurahia kitambulisho chako kitumike bila idhni yako kusajili namba ya mtu usiemjua? Kumiliki laini zaidi ya moja kwa mtandao mmoja inawezekana lkn mpk uwaeleze sababu.
Ukmwona freelancer yeyote anakuchekia usajili wote uliofanywa kwa kutumia I'd yako na ile namba ambayo hukuisajili wewe au uliisajili but huitaki unaifuta free ndani ya dk moja.
Hoja yako haina msingi
 
Bora ilivowekwa Limit... Story zilizagaa kwamba mawakala wanauza line zilizosajiliwa kwa Fingerprints kwa watu ambao hawana vitambulisho vya NIDA!! We unafkiri walikua wanatumia vitambulisho vya nani km sio vyetu sisi tuliojisajili? Je ungefurahia kitambulisho chako kitumike bila idhni yako kusajili namba ya mtu usiemjua? Kumiliki laini zaidi ya moja kwa mtandao mmoja inawezekana lkn mpk uwaeleze sababu.
Unaandika kitu usichokijua.!
 
Bora ilivowekwa Limit... Story zilizagaa kwamba mawakala wanauza line zilizosajiliwa kwa Fingerprints kwa watu ambao hawana vitambulisho vya NIDA!! We unafkiri walikua wanatumia vitambulisho vya nani km sio vyetu sisi tuliojisajili? Je ungefurahia kitambulisho chako kitumike bila idhni yako kusajili namba ya mtu usiemjua? Kumiliki laini zaidi ya moja kwa mtandao mmoja inawezekana lkn mpk uwaeleze sababu.
Hivyo unaenda Tcra kutoa maelezo au kwenye kampuni ya mtandao unaotumia?
 
Ila zile meseji za ile pesa tuma kwenye namba hii zimepungua
hawa hapa
IMG_20200702_151432.jpg
 
Mimi ndiyo nashangaa zaidi, huu ujinga unatoka kwenye kichwa cha namna gani. Kuna shida gani mtu mwema kuwa na laini nyingi na kuzitumia atakavyo bila kuvunja sheria za nchi?

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Ukmwona freelancer yeyote anakuchekia usajili wote uliofanywa kwa kutumia I'd yako na ile namba ambayo hukuisajili wewe au uliisajili but huitaki unaifuta free ndani ya dk moja.
Hoja yako haina msingi

Kajambe mbele huko, ww nadhani umejisajili juzi, Unafkiri tuliojisajili mwanzo kulikua na Options hizo za kucheck usajili kwenye simu + kufuta usajili wa namba usizozijua? Jiulize kwanini walieka hizo options kama sio Lawama kuwafikia kwamba Freelancers wanauza Line ambazo zishasajiliwa kwa vitambulisho vya watu waliowasajili.
 
Tena sasa ndo imekua balaa,unapigiwa simu na mtu humjui,message za vitisho,kiganga,,yaani imekuwa shida tu,na zinatumika namba hazina usajili,,swali,inawezekana vipi namba ukijaribu kuitumia pesa,haikupi jina,,inakwambia hiyo namba haina mpesa?,
 
Back
Top Bottom