TCRA saidieni kutuondolea kero ya matangazo TIGO

Jaylee

Member
Apr 15, 2009
64
93
Kwa kweli mtandao huu ni kero kero kubwa sana kutokana na meseji zao za kuhamasisha bahati nasibu. Meseji hizi kwa siku ni zaidi ya ishirini hadi usiku wanatuma, mtu unashindwa hata kulala. TCRA mko wapi? Baadhi wa watu wamediriki hata kuondoa sim card za Tigo kwenye simu zao kuondokana na usumbufu huu na kuhamia mitandao mingine.

TCRA naamini mtachukua hatua!

TIGO ni kero kwa sasa!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIO TIGO TU VODA NDIO KABISAAA MPAKA NIMEACHA LINE YANGU YA VODA....
2.Internet kwetu hapa jamani imekuwa ni extreamly expensive hasa voda...its too expensive...Airtel na tigo pia I think TCRA kwenye hili naona mnahitaji kuangalia upya how to manage these companies...
 
kwa hili ni kweli, yani mtu unasubiri mchongo wako wa demu au pesa, unakuta ki ujumbe cha PESANI....yaani dah, Mungu anawaona hawa
 
Nenda Halotel... Much better Kwa internet
SIO TIGO TU VODA NDIO KABISAAA MPAKA NIMEACHA LINE YANGU YA VODA....
2.Internet kwetu hapa jamani imekuwa ni extreamly expensive hasa voda...its too expensive...Airtel na tigo pia I think TCRA kwenye hili naona mnahitaji kuangalia upya how to manage these companies...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli mtandao huu ni kero kero kubwa sana kutokana na meseji zao za kuhamasisha bahati nasibu. Meseji hizi kwa siku ni zaidi ya ishirini hadi usiku wanatuma, mtu unashindwa hata kulala. TCRA mko wapi? Baadhi wa watu wamediriki hata kuondoa sim card za Tigo kwenye simu zao kuondokana na usumbufu huu na kuhamia mitandao mingine.

TCRA naamini mtachukua hatua!

TIGO ni kero kwa sasa!


Sent using Jamii Forums mobile app
Namba hii moja wapo 15670,na zingine, yaan ni kero, kibaya zaidi ht ukijibu kwa meseji kuwa Ondoa hawakuondoi, kwa siku Meseji zinafika hta Mia, nimegundua huu mtandao Wa watoto, mtu mzima na akili zako ilipofikia Ni aibu kuwa na laini ya huu mtandao kwakweli, haufai, tushalalamika sana juu ya hili lakini wap !!
 
Tigo kwa suala hili ni kero, voda ni gharama tu za vifurushi vyao japo inataneti yao ipo vzr, ila afadhali Voda hawana mameseji y'a kipuuzi, Tigo wanakera, eti wanakutumia Meseji wanakuulza maswali ya kitoto uyajibu ili upate milioni hamsini
 
Tigo kwa suala hili ni kero, voda ni gharama tu za vifurushi vyao japo inataneti yao ipo vzr, ila afadhali Voda hawana mameseji y'a kipuuzi, Tigo wanakera, eti wanakutumia Meseji wanakuulza maswali ya kitoto uyajibu ili upate milioni hamsini

Mina the cute.
 
kama una line ya tigo na voda kuna hizi
KINARA
POLISI
BIKOSPOT
VODACOM TAARIFA
TIGO SMS
Kuna namba za stori za kiseng*seng*
Zinaanzia na 90......
Unaweza pigiwa hata saa kumi usiku
 
Mtu umetoka kutumia app yao ya tigopesa. Linakuja tangazo tumia app. Hujakaa vizuri SHINDA mamilioni. Yaani tigo ni wamgese sana.

Sent using my Nokia Torch
 
Nendani playStore m_download App inaitwa Truecaller..ndio kiboko ya matangazo ya kampuni za mitandao ya simu..(tangazo likija halitoi sauti na linafikia kwenye dustbin)

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu je kuna uwezekano tangazo likija hiyo truecaller iwajibu tigo tusi baya...?

kuna day nilimtukana mtoa huduma aliponiambia kuwa nilijiunga mwenyewe nikakataa akasema kitupe hata cha kukata simu unakuwa ushajiunga.. nikamuambia ondosha matangazo la sivyo nitawashitaki kama AY na mwana FA wakaniambia nijiondoe kwa neno MUZIKI nikagoma nikasema sijajiunga hivyo mniondoe wenyewe wakanitumia msg kuwa nimeshajitoa ikapita wiki tu ngoma mule mule nikapoteza tu hadi nikachoka tena nikawacall wakaniambia nitume neno muziki nikatuma nikapata msg kuwa nishajitoa ila siku mbili mwendo wa matangazo ule ule pumbavu zenu Tigo na Manji wenu mla Madawa ya Kulevya Shenzi Type
 
Kwa kweli mtandao huu ni kero kero kubwa sana kutokana na meseji zao za kuhamasisha bahati nasibu. Meseji hizi kwa siku ni zaidi ya ishirini hadi usiku wanatuma, mtu unashindwa hata kulala. TCRA mko wapi? Baadhi wa watu wamediriki hata kuondoa sim card za Tigo kwenye simu zao kuondokana na usumbufu huu na kuhamia mitandao mingine.

TCRA naamini mtachukua hatua!

TIGO ni kero kwa sasa!


Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna njia sahihi ya kuwasilisha malalamiko pale TCRA wanasema kwanza kabisa mlalamikie mtoa huduma...akishindwa kutatua kero yako ndiposa uwasilishe malalamiko yako hapo TCRA kwa email zao hizi:
malalamiko@tcra.go.tz au dg@tcra.go.tz
Rahisi kama hivyo mi walishaacha kunibugudhi ule mtandao mwingine sio hawa unaowalalamikia weye...nilifuata procedure hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu je kuna uwezekano tangazo likija hiyo truecaller iwajibu tigo tusi baya...?

kuna day nilimtukana mtoa huduma aliponiambia kuwa nilijiunga mwenyewe nikakataa akasema kitupe hata cha kukata simu unakuwa ushajiunga.. nikamuambia ondosha matangazo la sivyo nitawashitaki kama AY na mwana FA wakaniambia nijiondoe kwa neno MUZIKI nikagoma nikasema sijajiunga hivyo mniondoe wenyewe wakanitumia msg kuwa nimeshajitoa ikapita wiki tu ngoma mule mule nikapoteza tu hadi nikachoka tena nikawacall wakaniambia nitume neno muziki nikatuma nikapata msg kuwa nishajitoa ila siku mbili mwendo wa matangazo ule ule pumbavu zenu Tigo na Manji wenu mla Madawa ya Kulevya Shenzi Type
ht mimi nimefanya yote ila bado hadi kero, nimehamua laini ya Tigo niweke Kwenye Simu y'a tochi, halafu izo namba nimezisevu kweny screen msg Kwaiyo sizioni meseji zao,, na kwenye smartphone nimeweka lain ya mtandao mwingine bila kupenda
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom