Haya soma bango hiloTCRA hivi awa jamaa amuwaoni wanaotutumia sms or kutupigia simu Bila idhini yetu?binafsi nakereka sana nionapo sms or call za ovyo Kama hizi
View attachment 1860280
Aliye mtapeli wazir wa ulinzi aliishaaaaMkuu Asante kwani awakamatiki?
Usajili wa alama za vidole tulipigwa
Just imagine waziri wa ulinzi anatapeliwa kindezindezi. Eti waziri mzima hawezi kujiridhisha Kama jamaa Ni karibu mkuu au mjinga Fulani tu wa Tandika.Aliye mtapeli wazir wa ulinzi aliishaaaa
Ova
Mpaka wanafanikiwa kumtapeli waziri wa ULINZI inamaana walishawatapeli Hawa kina Dada Joy, kina Simbachawenyewe, kina Dada Doro na wabunge wengi tu akiwemo babu taletaleAliye mtapeli wazir wa ulinzi aliishaaaa
Ova