Daole
Senior Member
- Sep 23, 2010
- 161
- 109
Hapo vingamuzi sita (ndani) + madish 6 (juu ya paa) + antena za balbu/sufuria (hizi zipo sana uswahilini kwa ajili ya local channels), mgeni akija kwako akiangalia juu ya paa then akaingia ndani atajua umekuwa fundi vingamuzi a.k.a fundi madishi. Hivi hawa TCRA kweli wapo ofisini na wanalipwa mshahara kwa kazi gani? Hivi hakuna teknolojia ya kuunganisha hizi station tuwe tu tunabadilisha smart cards kama ilivyo kwa simu. Hata ikiwa tu teknolojia ya kichina poa tu.
tehe tehe ..... zama za ukweli na uwazi